Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 38

Year: 2013

Pombe, Sigara na Vyakula Vyaongoza Kuleta Kisukari Tanzania

Posted on: November 23, 2013 - jomushi
Pombe, Sigara na Vyakula Vyaongoza Kuleta Kisukari Tanzania

ASILIMIA 9.1 ya Watanzania wanaugua ugonjwa wa kisukari hali ambayo huchangia na unywaji wa pombe huvutaji wa sigara, ulaji wa vyakula usiofaa na kutokufanya mazoezi…

Continue Reading....

TFF Yaingilia Simba, Yamtaka Rage Aitishe Mkutano

Posted on: November 23, 2013 - jomushi
TFF Yaingilia Simba, Yamtaka Rage Aitishe Mkutano

MWENYEKITI wa Simba, Ismail Aden Rage ameagizwa kuitisha Mkutano Mkuu wa Dharura wa klabu ndani ya siku 14 kuanzia sasa. Shirikisho la Mpira wa Miguu…

Continue Reading....

Jamal Malinzi Atangaza Kamati Ndogondogo za TFF

Posted on: November 23, 2013 - jomushi
Jamal Malinzi Atangaza Kamati Ndogondogo za TFF

RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Jamal Malinzi ametangaza wajumbe wa kamati ndogongo (standing committees) wakati zile za haki (judicial organs) na…

Continue Reading....

Emirates Flight Academy Will Help Address Middle East Pilot Demand

Posted on: November 23, 2013 - jomushi
Emirates Flight Academy Will Help Address Middle East Pilot Demand

Dubai, U.A.E EMIRATES Flight Academy will help address the need for 40,000 pilots in the Middle East over the next two decades in support of…

Continue Reading....

Wajumbe 85 Kutoka Serikali za Mitaa China Wapokelewa Dar

Posted on: November 23, 2013 - jomushi
Wajumbe 85 Kutoka Serikali za Mitaa China Wapokelewa Dar

Continue Reading....

Soma Waraka Unaodaiwa Kuwaponza Zitto, Dk Kitilla na Mwigamba Ndani ya Chadema

Posted on: November 22, 2013 - jomushi
Soma Waraka Unaodaiwa Kuwaponza Zitto, Dk Kitilla na Mwigamba Ndani ya Chadema

MKAKATI WA MABADILIKO 2013 UTANGULIZI: Taasisi tunayoizungumzia ilisajiliwa rasmi mwezi January 1993 na tokea wakati huo imeongozwa na wakuu wa taasisi wapatao wawili na aliyepo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari