Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 307

Year: 2013

Ahadi ya Magu Kupata Maji Safi Lafanikiwa

Posted on: May 9, 2013May 9, 2013 - jomushi
Ahadi ya Magu Kupata Maji Safi Lafanikiwa

Na Immaculate Makilika- Dodoma SERIKALI imemwajiri Mtaalamu Mshauri wa kusanifu miundombinu ya maji katika mji wa Magu,hatua hiyo ni utekelezaji wa agizo la Rais Jakaya…

Continue Reading....

Halmashauri Zashauriwa Kubuni Vyanzo vya Mapato

Posted on: May 9, 2013May 9, 2013 - jomushi
Halmashauri Zashauriwa Kubuni Vyanzo vya Mapato

Na Immaculate Makilika- Dodoma SERIKALI inatambua kazi kubwa zinazofanywa na wenyeviti wa vijiji na vitongoji katika kuhimiza na kusimamia shughuli za maendeleo kwenye maeneo yao.…

Continue Reading....

TSh bilioni 4.46 Kukamilisha Mradi wa Umeme Kigoma.

Posted on: May 9, 2013May 9, 2013 - jomushi
TSh bilioni 4.46 Kukamilisha Mradi wa Umeme Kigoma.

Na Immaculate Makilika- Dodoma SERIKALI imedhamiria kutafuta fedha kutoka kwenye vyanzo vyake vya ndani na nje ya nchi ikiwemo washirika mbalimabli wa maendeleo ili kutekeleza…

Continue Reading....

Waziri Pinda Azicharukia Serikali za Mitaa

Posted on: May 9, 2013May 9, 2013 - jomushi
Waziri Pinda Azicharukia Serikali za Mitaa

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amecharuka na kuwakemea watendaji kwenye Serikali za Mitaa ambao wanatumia nafasi zao kulazimisha kufanya biashara na Halmashauri wanazoziongoza. Ametoa kauli hiyo…

Continue Reading....

UN Kupitia UBRAF Yaendesha Semina kwa Watangazaji wa Radio

Posted on: May 9, 2013May 9, 2013 - jomushi
UN Kupitia UBRAF Yaendesha Semina kwa Watangazaji wa Radio

Picha juu ni Mshauri wa Radio Jamii na Mkufunzi wa UNESCO Dar es Salaam Bi. Rose Mwalimu akiendesha majadiliano kuhusu mikakati endelevu itakayowezesha kuihusisha jamii…

Continue Reading....

TFF Kufanya Uchaguzi Mkuu Septemba 29.

Posted on: May 9, 2013May 9, 2013 - jomushi
TFF Kufanya Uchaguzi Mkuu  Septemba 29.

MKUTANO MKUU wa Uchaguzi wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) unatarajiwa kufanyika Septemba 29 mwaka huu baada ya ule wa Dharura wa marekebisho…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari