Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 200

Year: 2013

Uzazi Pasipo Mipango Unavyowatesa Wanawake Kishapu

Posted on: July 23, 2013 - jomushi
Uzazi Pasipo Mipango Unavyowatesa Wanawake Kishapu

Na Joachim Mushi, Kishapu WASUKUMA ni moja ya makabila nchini Tanzania ambayo awali yalishikilia desturi ya familia kuwa na idadi kubwa ya watoto. Familia moja…

Continue Reading....

Dk Shein Awazika Wanajeshi wa JWTZ Waliouwawa Darfur

Posted on: July 23, 2013July 23, 2013 - jomushi
Dk Shein Awazika Wanajeshi wa JWTZ Waliouwawa Darfur

Continue Reading....

JK Amteuwa Balozi Lumbanga Kuwa Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi PPRA

Posted on: July 23, 2013 - jomushi
JK Amteuwa Balozi Lumbanga Kuwa Mwenyekiti Bodi ya Wakurugenzi PPRA

Na Jennifer Chamila – Maelezo RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Jakaya Kikwete amemteua Balozi Matern Lumbanga kuwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya…

Continue Reading....

Waasi M23 wadaiwa Kubada na Kuuwa DRC

Posted on: July 23, 2013 - jomushi
Waasi M23 wadaiwa Kubada na Kuuwa DRC

SHIRIKA la kutetea haki za Binadamu la ‘Human Rights Watch’ limesema kuwa kundi la wapiganaji la M23 Mashariki mwa Jamhuri ya Demokrsia ya Congo limewaua…

Continue Reading....

Kim Poulsen Atamba Kuisambaratisha Uganda

Posted on: July 23, 2013 - jomushi
Kim Poulsen Atamba Kuisambaratisha Uganda

KOCHA Mkuu wa Taifa Stars, Kim Poulsen amesema kikosi chake kimejiandaa kuikabili Uganda kwenye mechi ya marudiano ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza Fainali za…

Continue Reading....

Mafunzo kwa Redio za Kijamii Yaliyofanyika Mkoani Kagera

Posted on: July 23, 2013 - jomushi
Mafunzo kwa Redio za Kijamii Yaliyofanyika Mkoani Kagera

Mshauri Mwelekezi masuala ya utawala bora Bw. Wilbert Kitima akiendesha mafunzo kwa washiriki wa Redio Jamii yaliyofanyika mjini Kayanza, wilayani Karagwe mkoa wa Kagera na…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari