Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 191

Year: 2013

Waziri Mkuu wa Thailand Kutembelea Tanzania Kesho

Posted on: July 29, 2013 - jomushi
Waziri Mkuu wa Thailand Kutembelea Tanzania Kesho

WAZIRI Mkuu wa Thailand anatarajia kuwasili nchini Tanzania kesho kwa ajili ya ziara ya kikazi. Waziri huyo atawasili nchini Julai 30, 2013 majira ya saa…

Continue Reading....

Maji Yawatesa Akinamama na Wanafunzi Kishapu

Posted on: July 29, 2013July 29, 2013 - jomushi
Maji Yawatesa Akinamama na Wanafunzi Kishapu

Na Joachim Mushi, Kishapu WASWAHILI wanasema ‘maji ni uhai’ na maisha bila maji ni kadhia. Kimsingi mwanadamu anahitaji maji safi na salama katika kuendesha maisha…

Continue Reading....

Wapo Wenzetu Wanaowakaribisha Wahamiaji Haramu – Kikwete

Posted on: July 29, 2013 - jomushi
Wapo Wenzetu Wanaowakaribisha Wahamiaji Haramu – Kikwete

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amesema kuwa baadhi ya wahamiaji haramu wanaoishi katika Mkoa wa Kagera, hususan katika Wilaya ya…

Continue Reading....

Kutana na Kaden Msichana Aliebadili Jinsia Kuwa Mwanaume

Posted on: July 29, 2013 - jomushi
Kutana na Kaden Msichana Aliebadili Jinsia Kuwa Mwanaume

MSICHANA Kaden hakupenda yeye kuzaliwa jinsia hiyo. Hivyo baada ya kuanza kujitambua alianza mchakato wa kubadili jinsia yake. Taarifa za kisa hiki zilianza kusikika mwaka…

Continue Reading....

Kichapo kwa Mtuhumiwa wa Wizi Mtaani Kawe Dar

Posted on: July 29, 2013 - jomushi
Kichapo kwa Mtuhumiwa wa Wizi Mtaani Kawe Dar

MTUmmoja aliyetuhumiwa kuwa ni mwizi amenusurika kufa baada ya kundi la wananchi wenye asira kumpa kipigo cha maana, katika eneo la Mbezi – Darajani, Kawe…

Continue Reading....

Dk. Willibrod Slaa Amweka Kitimoto Nchimbi

Posted on: July 29, 2013 - jomushi
Dk. Willibrod Slaa Amweka Kitimoto Nchimbi

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Dk Emmanuel Nchimbi jana alikuwa na wakati mgumu katika Kongamano la Amani lililoandaliwa na Jumuiya ya Wanataaluma wa…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari