Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 19

Year: 2013

JK Katika Msiba wa Nelson Mandela Afrika Kusini

Posted on: December 12, 2013 - jomushi
JK Katika Msiba wa Nelson Mandela Afrika Kusini

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete, Desemba 10, 2013, aliungana na viongozi wa mataifa mbali mbali duniani na maelfu ya wananchi…

Continue Reading....

Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ipo Huru; Jaji Lubuva

Posted on: December 12, 2013 - jomushi
Tume ya Taifa ya Uchaguzi Ipo Huru;  Jaji Lubuva

Na Magreth Kinabo   MWENYEKITI wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji Mstaafu Damian Lubuva amesema kuwa tume hiyo iko huru na si kweli kwamba…

Continue Reading....

Shindano la Maisha Plus 2013 Lazinduliwa

Posted on: December 12, 2013 - jomushi
Shindano la Maisha Plus 2013 Lazinduliwa

  Mkuu wa Wilaya ya Mvomero Mh. Anthony Mtaka, Akizungumza pamoja na wakazi wa eneo la Kingolwira pamoja na wageni mbalimbali waliotoka sehemu mbalimbali Tanzania…

Continue Reading....

Zitto Akata Rufaa Kupinga Kamati Kuu Chadema Kumvua Uongozi

Posted on: December 12, 2013 - jomushi
Zitto Akata Rufaa Kupinga Kamati Kuu Chadema Kumvua Uongozi

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Kigoma Kaskazini, Zitto Zuberi Kabwe (MB) amewasilisha barua ya kupinga uamuzi wa Kamati Kuu wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo…

Continue Reading....

Dunia Yamuaga Mandela kwa Heshima ya Kipekee, Zaidi ya Viongozi 100 Mashughuli Wahudhuria..!

Posted on: December 10, 2013 - jomushi
Dunia Yamuaga Mandela kwa Heshima ya Kipekee, Zaidi ya Viongozi 100 Mashughuli Wahudhuria..!

DUNIA imeamua kumpa heshima ya kipekee Nelson Mandela kwa kufanya mkusanyiko wa aina yake wa kumuaga kwenye kitongoji cha Soweto, ambapo zaidi ya viongozi 100…

Continue Reading....

Kampuni ya MeTL Kuinua Vipaji kwa Vijana Tanzania

Posted on: December 10, 2013 - jomushi
Kampuni ya MeTL Kuinua Vipaji kwa Vijana Tanzania

KAMPUNI YA MOHAMMED ENTERPRISES (MeTL) Tanzania kwa kushirikiana Ledger Plaza Bahari Beach wamezindua maonyesho ya elimu ya mwaka kwa watoto nchini yenye kushindaniwa zawadi mbalimbali…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari