Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 175

Year: 2013

TFF Yataja Tarehe ya Uchaguzi Wake

Posted on: August 14, 2013 - jomushi
TFF Yataja Tarehe ya Uchaguzi Wake

KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imetoa tangazo la uchaguzi wa Kamati ya mpya ya Utendaji ambao utafanyika Oktoba 20…

Continue Reading....

Rais Kikwete akabidhiwa jezi maalum ya FC Barcelona

Posted on: August 14, 2013August 14, 2013 - Rungwe Jr.
Rais Kikwete akabidhiwa jezi maalum ya FC Barcelona

Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Bia Tanzania (TBL), Bi. Kushilla Thomas akimkabidhi Rais Jakaya Kikwete jezi iliyosainiwa na wachezaji wote wa timu ya FC…

Continue Reading....

Bakwata Wataka Uchunguzi Vipigo vya Waislam Msikitini

Posted on: August 14, 2013 - jomushi
Bakwata Wataka Uchunguzi Vipigo vya Waislam Msikitini

Na Jennifer Chamila- Maelezo BARAZA Kuu la Waislam Tanzania (BAKWATA) limeviomba vyombo vya dola kuendelea kufanya uchunguzi kuhusu tukio la kuvamiwa, kupigwa na kujeruhiwa kwa Imamu…

Continue Reading....

Swahili Radio Yaanza Kuruka Hewani Washington

Posted on: August 14, 2013 - jomushi
Swahili Radio Yaanza Kuruka Hewani Washington

Mkurugkenzi wa Swahili Radio Bwana Dickson Mkama (DMK) akiwa hewani wakati  wa majaribio Mkurugenzi wa Swahili Radio Bwana Alex Kassuwi (King) akiwa hewani akifanya majaribio…

Continue Reading....

JK Amteuwa Adam Mayingu Kuwa Mkurugenzi Mkuu PSPF

Posted on: August 14, 2013 - jomushi
JK Amteuwa Adam Mayingu Kuwa Mkurugenzi Mkuu PSPF

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua, Adam H. Mayingu kuwa Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Pensheni kwa Watumishi wa Umma…

Continue Reading....

CCM Yawafukuza Madiwani Wake Nane Bukoba

Posted on: August 14, 2013August 14, 2013 - jomushi
CCM Yawafukuza Madiwani Wake Nane Bukoba

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimewafukuza madiwani wake nane wa chama hicho mkoani Kagera, baada ya kutangaza kuwavua hadhi ya uwanachama wa chama hicho. Kwa mujibu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari