Na Eleuteri Mangi – Maelezo SERIKALI ya Tanzania na Uswisi zimetiliana mkataba wa makubaliano wa kuisaidia mpango wa taifa wa kupambana na malaria nchini (NMCP)…
Continue Reading....Year: 2013
CHAKUA Wataka Mfumo wa Tiketi za Mtandao
Na Magreth Kinabo- Maelezo CHAMA cha kutetea abiria Tanzania (CHAKUA) kimezishauri kampuni za usafirishaji zianzishe mfumo wa kukata tiketi kwa njia ya mtandao ili kuweza…
Continue Reading....Waziri Lukuvi kuanza ziara Mikoa ya Katavi, Rukwa na Mbeya
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera Uratibu na Bunge), William V. Lukuvi (MB) anatarajia kuanza ziara yake rasmi katika Mikoa ya Katavi, Rukwa…
Continue Reading....Ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Wilayani Meatu Mkoa wa Simiyu
ATAKA VIONGOZI WA CHAMA KUFANYA KAZI KWA KUJITOLEA, AWAAGIZA VIONGOZI WA CHAMA KUWA KARIBU NA MABALOZI WA NYUMBA KUMI Katibu Mkuu Ndugu Abdulrahman Kinana akimpa mkono…
Continue Reading....Rais Kikwete Ziarani Marekani na Canada
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete ameondoka nchini Septemba 15, 2013, kwenda Marekani na Canada kwa ziara za kikazi ambako miongoni…
Continue Reading....Semina ya Kamata Fursa Twendzetu Ndani ya Morogoro
Msanii wa muziki wa kizazi kipya Mwansiti Almasi,akifafanua namna anavyonufaika na huduma za NSSF,mara tu walipojiunga kupitia kundi lao la Lekadutigite,ndani ya semina ya fursa…
Continue Reading....