WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amesema Serikali imeanza kushughulikia utaratibu wa kurejesha utoaji wa elimu ya kidato cha kwanza hadi kidato cha nne katika baadhi ya…
Continue Reading....Year: 2013
Serikali Yatenga Bilioni 109 Ununuzi Mahindi Hifadhi ya Chakula
WAZIRI wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Uratibu na Bunge Mhe. William V. Lukuvi (Mb) amesema katika mwaka wa fedha wa 2013/2014 Serikali imetenga…
Continue Reading....Al-Shabaab ‘Wavamia’ Kenya, Wauwa Zaidi ya Watu 30 na Kujeruhi
BAADA ya uvamizi na mashambulio ya risasi yanayodaiwa kusababisha vifo vya watu takribani 30 na zaidi ya 50 kujeruhiwa kwenye duka moja maarufu mjini Kenya,…
Continue Reading....Askofu Kakobe Ampa Mtihani Rais Kikwete Mkutanoni
Mkutano wa pamoja wa vyama vya CUF, CHADEMA na NCCR-Mageuzi Ukiendelea. Viongozi wakuu wa vyama hivyo, yaani James Mbatia Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi, Freeman Mbowe (Mwenyekiti…
Continue Reading....Mbowe, Mbatia, Profesa Lipumba Wamvaa IGP
VYAMA vya siasa vya upinzani vya Chadema, CUF na NCCR-Mageuzi, leo vitafanya mkutano wa hadhara katika Viwanja vya Jangwani kuhamasisha wananchi wapinge kile wanachodai ni…
Continue Reading....