Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • Page 111

Year: 2013

Nape Atoa Kauli ya CCM, Asema Wanaiamini na Kuiheshimu Tume ya Katiba Mpya

Posted on: October 4, 2013 - jomushi
Nape Atoa Kauli ya CCM, Asema Wanaiamini na Kuiheshimu Tume ya Katiba Mpya

Taarifa zaidi kuhusu kauli hii baadaye hapahapa

Continue Reading....

Jukwaa la Wahariri Tanzania Lakutana, Lalaani Kufungiwa Magazeti

Posted on: October 4, 2013 - jomushi
Jukwaa la Wahariri Tanzania Lakutana, Lalaani Kufungiwa Magazeti

Kikao cha Wajumbe wa Jukwaa la Wahariri kilichofanyika leo, Alhamisi, Oktoba 3, mwaka 2013, kimejadili uamuzi wa serikali kuyafungia magazeti ya Mwananchi na Mtanzania. Wajumbe…

Continue Reading....

Wanakijiji Twabagondozi Wamuomba Pinda Mil. 660 za Mradi

Posted on: October 4, 2013October 4, 2013 - jomushi
Wanakijiji Twabagondozi Wamuomba Pinda Mil. 660 za Mradi

  WAKAZI wa Kijiji cha Twabagondozi wilayani Kibondo, Kigoma wamemuomba Waziri Mkuu Mizengo Pinda awasadie kuharakisha upatikanaji wa zaidi ya sh. milioni 660 ili waweze…

Continue Reading....

Waziri Pinda Kugawa Mizinga ya Nyuki 100 ya Kisasa Kibondo

Posted on: October 4, 2013 - jomushi
Waziri Pinda Kugawa Mizinga ya Nyuki 100 ya Kisasa Kibondo

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda ameahidi kutoa fedha za kununua mizinga kati ya 100 na 200 kwa ajili ya wanakijiji wa Biturana, wilayani Kibondo, mkoani Kigoma…

Continue Reading....

Mahafali ya 10 ya Shule ya Msingi Maktaba ya Jijini Dar es Salaam

Posted on: October 4, 2013 - jomushi
Mahafali ya 10 ya Shule ya Msingi Maktaba ya Jijini Dar es Salaam

Wahitimu wa darasa la Saba wa Shule ya Msingi Maktaba wakiwa katika picha ya pamoja na mgeni rasmi wa mahafali yao ya 10 na viongozi…

Continue Reading....

Harusi ya Mdau Vicent Mnyanyika na Bi. Tatu Abdi

Posted on: October 3, 2013 - jomushi
Harusi ya Mdau Vicent Mnyanyika na Bi. Tatu Abdi

Paroko wa Parokia ya Mtakatifu Maria Kimara akiwaongoza maharusi kuweka maagano ya ndoa yao takatifu Kanisani” Bibi harusi Tatu Abdi akiweka saini kwenye cheti cha…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari