Katibu wa NEC ya CCM, Siasa na Uhusiano wa Kimataifa, Dk. Asha-Rose Migiro, akimlaki Makamu Mwenyekiti wa Chama Cha Ukombozi wa Palestina (PLO), Tayaseer Khalid…
Continue Reading....Month: June 2013
Bondia Patrick kuzichapa na Class
BONDIA Patrick Anthony Kavako ‘Baunsa’ wa Morogoro ametamba kumchapa Ibrahimu Class ‘King Class Mawe’ wakati wa mpambano wao wa raundi nane utakaofanyika siku ya jumapili june…
Continue Reading....Hali ya Mandela ni Mbaya Sana – Rais Zuma
RAIS wa Afrika kusini Jacob Zuma, amesema kuwa nchi yote inazidi kumwombea Mzee Nelson Mandela ili apate afueni haraka. Rais huyo wa zamani amelazwa hospitalini…
Continue Reading....CCM Wapinga Mfumo wa Serikali Tatu
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimepinga muundo wa Muungano wa Serikali tatu unaopendekezwa katika rasimu ya Katiba Mpya iliyotolewa na Tume ya Mabadiliko ya Katiba mwanzoni…
Continue Reading....Waalgeria Kuchezesha Mechi ya Taifa Stars na Ivory Coast
SHIRIKISHO la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeteua waamuzi kutoka Algeria kuchezesha mechi kati ya Taifa Stars na Ivory Coast itakayofanyika Jumapili saa 9…
Continue Reading....Serikali Yahimiza Umezaji wa Dawa za Mabusha na Matende
Hussein Makame – MAELEZO SERIKALI imewaomba wananchi wa mikoa ya Dar es Salaam na Mwanza wenye umri kuanzia miaka mitano na kuendelea kujitokeza kwa wingi…
Continue Reading....