Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • April
  • Page 50

Month: April 2013

Rais Kikwete Azungumza na Naibu Rais Mteule wa Kenya, Ruto

Posted on: April 1, 2013 - jomushi
Rais Kikwete Azungumza na Naibu Rais Mteule wa Kenya, Ruto

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Jakaya Mrisho Kikwete April 1, 2013 amekutana na Naibu Rais mteule wa Kenya, William Kipchirchir Samoei arap…

Continue Reading....

Machimbo Yauwa 13 Arusha, Waliokufa Ajali ya Ghorofa Dar Wafikia 36

Posted on: April 1, 2013 - jomushi
Machimbo Yauwa 13 Arusha, Waliokufa Ajali ya Ghorofa Dar Wafikia 36

WATU wapatao 13 wamekufa baada ya kufukiwa na kifusi kwenye machimbo ya kokoto. Kwa mujibu wa taarifa ambazo mtandao huu umezipata watu hao walifunikwa na…

Continue Reading....

Waliberia wa Azam FC Kuwasili Leo

Posted on: April 1, 2013 - jomushi
Waliberia wa Azam FC Kuwasili Leo

TIMU ya Barrack Young Controllers II ya Liberia inatarajia kuwasili nchini kesho (Aprili 2 mwaka huu) kwa ajili ya mechi ya marudiano ya Kombe la…

Continue Reading....

Nne Zaingia Hatua ya Tatu Guinness Football Challenge Wiki Hii

Posted on: April 1, 2013April 1, 2013 - jomushi
Nne Zaingia Hatua ya Tatu Guinness Football Challenge Wiki Hii

JUMATATU iliyopita (Machi 28, 2013) kupitia televisheni za ITV na Clouds TV mashindano ya GUINNESSĀ® FOOTBALL CHALLENGEā„¢ yalituonesha ni kwanini ushirikiano ni muhimu kwa washiriki…

Continue Reading....

TFF Yatuma Rambirambi Coastal Union na Polisi Tabora

Posted on: April 1, 2013 - jomushi
TFF Yatuma Rambirambi Coastal Union na Polisi Tabora

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko kifo cha mchezaji wa zamani wa timu za Coastal Union, TPC na Taifa Stars, Behewa…

Continue Reading....

Mshindi wa Pambano la Omar na Madilu Kucheza Uphilipino

Posted on: April 1, 2013 - jomushi
Mshindi wa Pambano la Omar na Madilu Kucheza Uphilipino

MSHINDI kati ya mabondia ya Issa Omar (peche boy) na Shaban Madilu wanaotarajia kucheza Aprili 7 jijini Dar es Salaam, ambaye pia atatawazwa kuwa Bingwa…

Continue Reading....

Posts navigation

Newer posts
thehabari