Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2013
  • March
  • Page 37

Month: March 2013

Mabingwa wa Michezo Tofauti Kuzipiga Tanga

Posted on: March 6, 2013 - jomushi
Mabingwa wa Michezo Tofauti Kuzipiga Tanga

BINGWA wa Kickboxing, Hamis Mwakinyo atazipiga na Bingwa wa Taifa wa Ngumi za Kulipwa nchini uzito wa ‘light weight kg 60’, Said Mundi wa Tanga…

Continue Reading....

Uchaguzi Kenya; Kenyatta Aongoza kwa 54% Odinga 41%

Posted on: March 6, 2013March 7, 2013 - jomushi
Uchaguzi Kenya; Kenyatta Aongoza kwa 54% Odinga 41%

Na dev.kisakuzi.com Kenya; MATOKEO ya awali ya uchaguzi Mkuu nchini Kenya yameanza kutangazwa baada ya siku ndefu huku kura za awali zikionesha mchuano mkali upo…

Continue Reading....

Rais wa Venezuela Hugo Chavez Afariki

Posted on: March 6, 2013March 7, 2013 - jomushi
Rais wa Venezuela Hugo Chavez Afariki

MAKAMU wa Rais wa Venezuela Nicholas Marduro ametangaza kifo cha Rais Hugo Chavez (58) kufuatia kuugua kwa muda mrefu maradhi ya Saratani. Rais Chavez alikuwa…

Continue Reading....

Rais Hugo Chavez Aaga Dunia!

Posted on: March 5, 2013March 7, 2013 - Rungwe Jr.

Habari zilizotufikia mitamboni muda si mrefu, ni kwamba yule Rais machachari wa Venezuela kule America ya kusini amefariki dunia kutokana na ugonjwa wa saratani. Rais…

Continue Reading....

Mkurugenzi Mkazi wa Zamani wa FES ya Ujerumani Atembelea CCM

Posted on: March 5, 2013 - jomushi
Mkurugenzi Mkazi wa Zamani wa FES ya Ujerumani Atembelea CCM

     KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa, Oganaizesheni, Muhammed Seif Khatib akimkaribisha Mkurugenzi Mkazi mpya wa Taasisi ya FES ya Ujerumani, Rolf Paasch, wakati…

Continue Reading....

Kenya Wafanya Maamuzi ya Viongozi Wao

Posted on: March 4, 2013March 7, 2013 - jomushi
Kenya Wafanya Maamuzi ya Viongozi Wao

ZOEZI la upigaji kura nchini Kenya lililoanza saa 12 alfajiri leo 4.3.2013 bado inaendelea huku milolongo mirefu ya wapiga kura ikiendelea kushuhudiwa katika vituo mbali…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari