Month: March 2013
Katibu Mkuu CCM Aenda China kwa Mwaliko wa CPC
Na Bashir Nkoromo KATIBU Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Abdulrahman Kinana anaondoka nchini leo Machi 10, 2013, kwenda Jamhuri wa Watu wa China kwa…
Continue Reading....Wajasiriamali Wanawake Mwanza Wapewa Mbinu
Na Anna Nkinda – Magu KINA mama Wajasiriamali nchini wametakiwa kuongeza ubunifu katika vikundi vyao ikiwa ni pamoja na kutengeneza bidhaa bora zaidi ambazo zitakidhi…
Continue Reading....Wananchi Chwaka Wakabidhiwa Mradi wa Maji
Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar WANANCHI wa Chwaka wameeleza kufarajika kwao baada ya kukamilika mradi wa maji safi na salama katika kijiji chao na kuondosha…
Continue Reading....Mama Pinda Awataka Wajasiriamali Kuwa Waaminifu
MKE wa Waziri Mkuu, Mama Tunu Pinda amewataka akinamama wanaojihusisha na shughuli za ujasiriamali kuwa waaminifu kwa wenza wao na wanafamilia wao ili waweze kupata…
Continue Reading....Mke wa Rais Tanzania Haimiza Elimu kwa Watoto wa Kike
Na Anna Nkinda – Magu JAMII imetakiwa kufanya kila iwezalo kuhakikisha kuwa watoto wa kike wanasoma na kupata elimu bora kwa kufanya hivyo kutawasaidia watoto…
Continue Reading....