Hassan Silayo-Maelezo RAIS wa China, Xi Jinping anatarajia kufungua Jengo la Ukumbi wa Mikutano wa Kimataifa la Julius Nyerere Convertion Centre lililopo jijini Dar-es-Salaam linalomilikiwa…
Continue Reading....Month: March 2013
TFDA Watakiwa Kutobweteka na Mafanikio
Na Frank Shija –Maelezo RAIS Jakaya Mrisho Kikwete amewataka watendaji wa Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) kutobweteka na mafanikio wanayoyapata bali waendelee kufanya kazi…
Continue Reading....Lwakatare Ashtakiwa kwa Ugaidi, Kupanga Kumdhuru Mwanahabari
MKUU wa Usalama wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Wilfred Lwakatare na mwenzake Ludovick Rwezaura wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu waki kabiliwa…
Continue Reading....Bi. Mary O.Nathan Atimiza Miaka 60
TAREHE ya leo ndio aliyo zaliwa Mama mzazi wa Blogger na Mpigapicha nguli Tanzania, Mroki Mroki, Bi. Mary O.Nathan (pichani) wa Kinyenze, Wilaya ya Mvomero…
Continue Reading....JK Atuma Salam za Rambirambi kwa Said Mwema
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia salamu za rambirambi Mkuu wa Jeshi la Polisi Tanzania, Inspekta Jenerali Saidi Mwema kuomboleza kifo…
Continue Reading....Sekretarieti Yatoa Ufafanuzi Kuhusu Ajira
TAARIFA KWA UMMA Sekretarieti ya Ajira katika Utumishi wa Umma ni chombo kilichoundwa kwa mujibu wa Sheria ya Utumishi wa Umma Na. 8 ya mwaka…
Continue Reading....