Sarahy Paul mshindi wa mwaka jana 2012 Mashindano ya Miss Redds Tabora kukujia tena kwa sura pevu zaidi, hii ni baada ya kufanyika mashindano kama…
Continue Reading....Month: February 2013
Wagombea Urais Kenya Kupambana Katika Mdahalo
WAGOMBEA urais nchini Kenya wanatarajia kuumana katika mdahalo utakaowakutanisha viongozi hao na kuoneshwa moja kwa moja kupitia runinga. Mdahalo huo ambao ni wa kwanza kabisa…
Continue Reading....Leodger Tenga, Mark Fish Waunga Mkono Mapambano ya Malaria
RAIS wa Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF), Leodgar Tenga amesema Tanzania itatumia mashindano ya soka kwa wanawake na vijana kama sehemu mojawapo ya…
Continue Reading....Mabondia Ramadhani na Njiku Wasaini Kukipiga Feb 14
Na Mwandishi Wetu MABONDIA Deo Njiku wa Morogoro na Omary Ramadhani wataingia uringoni Februari 14 katika Ukumbi wa Friends Corner Hotel Manzese kuwania Ubingwa wa…
Continue Reading....Freddy Macha Atona Ki-‘Freedom’
FREDDY Macha si jina geni kwa watanzania na wadau wasanaa popote pale duniani. Unapolitaja jina la Freddy Macha lazima utakugusia vipaji vya Mtanzania huyo mwenye…
Continue Reading....Watu 100 Wauwawa Sudan Kusini Baada ya Kushambuliwa
WAKUU wa Sudan Kusini wanasema watu zaidi ya 100 wameuwawa kwenye wizi wa mifugo. Taarifa zinasema watu wa kabila la Lou Nuer walishambuliwa Ijumaa katika…
Continue Reading....