RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Jaji Aloysius Kibuuka Mujulizi, kuwa Mwenyekiti wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania. Taarifa iliyotolewa…
Continue Reading....Month: February 2013
TFF Wawaalika Mashabiki Mpambano wa Simba na Azam
SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) linawaka washabiki wa mpira wa miguu kujitokeza kwa wingi wikiendi hii kuzishangilia timu za Azam na Simba zitakazocheza…
Continue Reading....Mimi na Tanzania Yamtembelea Mjane wa Daudi Mwangosi
Hoyce Temu akimpa mkono wa pole mke wa Marehemu Daudi Mwangosi alipoitembelea familia hiyo kuifariji. Mwanaharakati wa kijamii Hoyce Temu kupitia kipindi chake cha Mimi…
Continue Reading....Kilimanjaro, Ngorongoro na Serengeti Vyanyakua Ushindi Maajabu Saba ya Dunia
Waziri Mkuu Mizengo Pinda akipiga makofi mara baada ya kumkabidhi tuzo Mkurugenzi wa Hifadhi za Taifa TANAPA Bw. Allan Kijazi anayenyanyua juu tuzo ya Mbuga…
Continue Reading....Papa Benedict XVI Atangaza Kujiuzulu
KIONGOZI wa Kanisa Katoliki duniani, Papa Benedict XVI ametangaza kuachia madaraka ya kuongoza kanisa ifikapo mwishoni mwa mwezi huu, uamuzi ambao ni wa kwanza tangu…
Continue Reading....