SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Afrika (CAF) limesitisha ukamishna wa Hafidh Ali. Uamuzi huo umefanywa na Kamati ya Mashindano ya Kombe la Mataifa ya Afrika…
Continue Reading....Month: February 2013
Rais Kikwete Amzika Askofu Amedeus Msarikie
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete Februari 14, 2013 ameungana na mamia kwa mamia ya waumini wa Kanisa Katoliki, Jimbo la…
Continue Reading....Kalunde Bend na Onesho la Valentine Trinit Oysterbay
Mkurugenzi wa Bendi ya Kalunde Deo Mwanambilimbi akiimba huku wacheza shoo wa bendi hiyo Kushoto ni Queen Vero na kulia ni Frola Bamboocha wakati wa…
Continue Reading....Kipindi cha Ongea na Janet Chatembelea Kituo cha Kiwohede
Mwendeshaji wa Kipindi cha Ongea na Janet kinachorusshwa na Clouds Tv na DStv Channel 158 Bi. Janet Sosthenes Mwenda akisaini daftari la wageni katika kituo…
Continue Reading....Dk. Shein Akutana na Mabalozi wa Nchi za Canada na Cuba
Na Said Ameir, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein jana, kwa nyakati tofauti, alikutana na Mabalozi…
Continue Reading....