WATU saba wamefariki dunia na wengine zaidi ya 40 kujeruhiwa kufuatia mabasi mawili kugongana uso kwa uso katika Kijiji cha Nyatwali Wilayani Bunda Mkoani Mara.…
Continue Reading....Month: January 2013
Wagombea TFF Kuchukua Fomu Kwenye Tovuti, TFF Yaipongeza Azam FC
KAMATI ya Uchaguzi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) inawaarifu wadau wote kuwa fomu za maombi ya uongozi wa TFF na Tanzania Premier…
Continue Reading....Washiriki wa Guinness Football Challenge 2013 Waagwa Dar es Salaam
Baadhi ya wamiliki wa magazeti tando walioko jijini Dar es Salaam, wakiwa katika picha ya pamoja walipokutana katika tafrija ya kuwaaga, ashiriki wa shindano la…
Continue Reading....Mkurungezi Mtendaji wa Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) Atembelea Clouds FM
Baada ya ziara kutembelea vitengo mbalimbali vya kampuni hiyo, pia Steve Gannon alipata wasaa wa kukaa meza moja na uongozi wa juu wa kampuni…
Continue Reading....Rais Kikwete Azindua Shule ya Kisasa Zanzibar
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Januari 12, 2013, amezindua shule mpya na ya kisasa kabisa ya Sekondari ya Mlimani-Matemwe, Mkoa wa…
Continue Reading....Mubarak Ashinda Kesi ya Rufaa
RAIS wa zamani wa Misri, Hosni Mubarak, ameruhusiwa kufanyiwa kesi nyengine kwa makosa ya kutozuwia mauaji ya waandamanaji mamia kadha wakati wa ghasia zilizomuondoa madarakani.…
Continue Reading....