MSHINDI wa Shindano la kumtafuta msanii mwenye kipaji cha muziki maarufu kama Epiq Bongo Star Search (EBSS) hatimaye amejulikana usiku huu ndani ya Ukumbi wa…
Continue Reading....Year: 2012
Uchaguzi TAREFA, TAFCA Kufanyika Desemba 22
UCHAGUZI wa viongozi wa Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Tabora (TAREFA) na Chama cha Makocha wa Mpira wa Miguu Tanzania (TAFCA) sasa utafanyika…
Continue Reading....Waasi Watungua Ndege ya Jeshi Sudan
WAASI katika Jimbo la Kordofan Kusini, nchini Sudan wamesema kuwa wametungua ndege ya kijeshi karibu na mpaka wake na Sudan Kusini. Msemaji wa kundi la…
Continue Reading....Dk Mwakyembe Acharuka, Avunja Bodi ya Usimamizi wa Bandari
WAZIRI wa Uchukuzi, Dk Harrison Mwakyembe ameivunja Bodi ya Wakurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari (TPA), baada ya kufuta uteuzi wa wajumbe wote wa…
Continue Reading....Rais Kikwete Akumbana na Mabango Uzinduzi wa Bomba la Gesi Dar
RAIS Jakaya Kikwete amejikuta akipokewa na mabango wakati akizindua mradi mkubwa wa bomba la gesi asilia linalotoka Mtwara hadi eneo la Kinyerezi jijini Dar es…
Continue Reading....Mechi Tano Ligi Kuu Bara Zabadilishwa Kupisha Mchezo wa Taifa Stars
KAMATI ya Ligi ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imefanya mabadiliko madogo ya ratiba ya Ligi Kuu ya Vodacom ili kupitisha mechi ya…
Continue Reading....