Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 489

Year: 2012

Dk Shein kuiongezea uwezo Idara Maalumu za Vikosi vya SMZ

Posted on: February 3, 2012 - jomushi
Dk Shein kuiongezea uwezo Idara Maalumu za Vikosi vya SMZ

Na Rajab Mkasaba, Ikulu Zanzibar RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk Ali Mohamed Shein amesema ipo haja ya Serikali yake kuiongezea…

Continue Reading....

Dk Bilal azindua mafunzo utengenezaji nyumba rahisi

Posted on: February 3, 2012 - jomushi
Dk Bilal azindua mafunzo utengenezaji nyumba rahisi

Continue Reading....

JK ataka Mahakama ianze kutoa adhabu mbadala

Posted on: February 3, 2012February 3, 2012 - jomushi
JK ataka Mahakama ianze kutoa adhabu mbadala

Na Joachim Mushi RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema kutolewa kwa adhabu mbadala na mahakama kutapunguza msongamano mkubwa wa wafungwa gerezani, hivyo kuishauri taasisi hiyo…

Continue Reading....

Rais Kikwete akutana na Baraza la NGO’s taifa

Posted on: February 3, 2012February 4, 2012 - jomushi
Rais Kikwete akutana na Baraza la NGO’s taifa

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete na ujumbe wa Asasi Zisizokuwa za Kiserikali (AZISE) wamekutana Februari 3, 2012, Ikulu, Dar es…

Continue Reading....

Baa la njaa limekwisha Somalia

Posted on: February 3, 2012 - jomushi
Baa la njaa limekwisha Somalia

UMOJA wa Mataifa (UN) umetangaza kuwa baa la njaa nchini Somalia lililotangazwa kulikumba taifa hilo hivi karibuni sasa limefikia kikomo. Umoja huo umesema hali imeimarika…

Continue Reading....

Mtihani wa mawakala wa wachezaji FIFA Machi 29

Posted on: February 3, 2012 - jomushi
Mtihani wa mawakala wa wachezaji FIFA Machi 29

Na Mwandishi Wetu MTIHANI wa uwakala wa wachezaji (players agent) wa Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) utafanyika Alhamisi ya Machi 29 mwaka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari