Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 450

Year: 2012

Taa hizi ni mapambo bandia ya Jiji la Dar es Salaam?

Posted on: March 3, 2012 - jomushi
Taa hizi ni mapambo bandia ya Jiji la Dar es Salaam?

Jamani hizi taa za barabarani kila uchao zinatengenezwa hasa za katikati ya Jiji la Dar es Salaam, lakini cha ajabu haziwaki nyakati za usiku maeneo…

Continue Reading....

Breaking Newzzz! Madaktari kurudi kwenye mgomo

Posted on: March 3, 2012 - jomushi
Breaking Newzzz! Madaktari kurudi kwenye mgomo

TAARIFA ambazo mtandao huu umezipata muda si mrefu ni kwamba kikao cha majadiliano cha madaktari kilichokuwa kikifanyika leo Ukumbi wa Water Front (NSSF) kimemalizika na…

Continue Reading....

Mradi Mkubwa Bandari Lamu wazinduliwa

Posted on: March 3, 2012March 3, 2012 - jomushi
Mradi Mkubwa Bandari Lamu wazinduliwa

MRADI mkubwa umezinduliwa Pwani ya Lamu ambao utaziunganisha nchi za Kenya, Ethiopia na Sudani Kusini. Ujenzi wa mradi huo mkubwa wa bandari unatarajiwa kugharimu dola…

Continue Reading....

Waziri Nundu aikoromea TAZARA kuhusu mishahara

Posted on: March 2, 2012 - jomushi
Waziri Nundu aikoromea TAZARA kuhusu mishahara

Na Magreth Kinabo-MAELEZO SERIKALI imeiagiza Menejimenti ya TAZARA kuhakikisha mishahara ya wafanyakazi wake inalipwa haraka, ikiwa ni pamoja na kujenga utaratibu wa kutatua matatizo yanapojitokedha…

Continue Reading....

Rais Kikwete amteua Naibu Katibu Mtendaji Tume ya Mipango

Posted on: March 2, 2012 - jomushi
Rais Kikwete amteua Naibu Katibu Mtendaji Tume ya Mipango

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua Dk. Longinus Kyaruzi Rutasitara kuwa Naibu Katibu Mtendaji Tume ya Mipango (MARCO). Taarifa iliyotolewa…

Continue Reading....

Madiwani: Serikali itueleze Mwakyembe anaumwa nini

Posted on: March 2, 2012March 2, 2012 - Rungwe Jr.
Madiwani: Serikali itueleze Mwakyembe anaumwa nini

Baadhi ya Madiwani wa Halmashauri ya Wilaya ya Kyela pamoja na wazee maarufu wa mji Kyela mkoani Mbeya, wamekutana kujadili suala la ugonjwa unaomsumbua Mbunge…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari