MADAKTARI nchini Tanzania wamesitisha mgomo wao mara moja ikiwa ni baada ya kufanya mazungumzo na Rais wa Tanzania, Jakaya Kikwete na kuwasilisha madai yao, huku…
Continue Reading....Year: 2012
Wafanyakazi Tazara wasitisha mgomo
Na Joyce Ngowi WAFANYAKAZI wa Mamlaka ya Reli Tanzania na Zambia (TAZARA) wamesitisha mgomo baada ya Waziri wa Uchukuzi Omari Nundu kusikiliza kilio chao sugu…
Continue Reading....Tanzania kushirikiana kupambana na uharamia
Na Joyce Ngowi WAZIRI wa Uchukuzi, Omari Nundu amesema Tanzania itashirikiana na nchi nyingine zinazotumia huduma ya usafirishaji kwa njia ya bahari kupambana na vitendo…
Continue Reading....Dk Shein ataka Wanzanzibari kuimarisha usafi wa mazingira
RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk. Ali Mohamed Shein, amewataka wananchi wa Zanzibar kuimarisha usafi wa mazingira yao hasa katika…
Continue Reading....Watanzania watakiwa kumgeukia Mungu
WATANZANIA wametakiwa kuacha kulalamika na badala yake wamgeukie Mungu na kuiombea nchi kama ambavyo neno la Mungu limeagiza. Wito huo umetolewa Machi 8, 2012 katika…
Continue Reading....‘Wakulima watumie maji kitaalamu kubana matumizi’
Na Magreth Kinabo, MAELEZO NAIBU Waziri wa Maji, Mhandisi Gerson Lwenge (pichani) ametoa changamoto kwa wazalishaji wa chakula nchini kuhakikisha wanatumia njia sahihi za kilimo…
Continue Reading....