Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jakaya Kikwete amemtumia Mkuu wa…
Continue Reading....Year: 2012
Muda wa kusitisha mapigano wamalizika Syria
KUANZIA leo saa 11 alfajiri, umemalizika ule muda wa kuweka chini silaha nchini Syria, kwa mujibu wa mpango wa mjumbe maalum Kofi Annan. Idadi ya…
Continue Reading....Kanumba alitabiri ‘kifo’ chake
Joachim Mushi MSANII maarufu wa filamu, Steven Kanumba aliyezikwa leo jijini Dar es Salaam katika makaburi ya Kinondoni inasadikika kuwa alitabiri kifo chake siku kadhaa…
Continue Reading....Wananchi waanza kuunusuru Mlima Kilimanjaro
Na Mwandishi Wetu, dev.kisakuzi.com-Moshi MKUU wa Mkoa wa Kilimanjaro, Leonidas Gama amesema mkoa huo umeanza kampeni ya upandaji miti katika maeneo anuai ikiwemo kwenye vyanzo…
Continue Reading....Madaktari wachunguza mwili wa Kanumba
Jopo la madaktari jana lilianza kuuchunguza mwili wa aliyekuwa mcheza filamu maarufu nchini, Steven Kanumba, kwa lengo la kubaini sababu zilizosababisha kifo chake kilichotokea Jumamosi…
Continue Reading....Kocha Poulsen ataja kikosi cha Ngorongoro Heroes
Na Mwandishi Wetu KOCHA Kim Poulsen, leo, Aprili 10 mwaka huu ametaja kikosi cha wachezaji 21 wa timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini…
Continue Reading....