Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam leo inatarajia kutoa hukumu ya kesi ya kupinga ushindi wa Mbunge wa Jimbo la Ubungo (Chadema), John Mnyika,…
Continue Reading....Year: 2012
Sekta binafsi, Marekani kuendeleza kilimo
Sekta binafsi nchini kwa kushirikiana na watu wa Marekani kupitia Shirika la Kimataifa la Maendeleo la Marekani (USAID) wamekubalina kuendeleza ukuaji wa kilimo nchini kwa…
Continue Reading....Tunalaani mauaji ya wazee kwa imani za kishirikina
Tangu jana tumekuwa tunaadika habari maalum kuhusu mauaji ya vikongwe mkoani Geita. Habari hiyo imejikita katika tukio la hivi karibuni kabisa la Mei 10, mwaka…
Continue Reading....Didier Drogba athibitisha kuondoka Chelsea
HATIMAYE athibitisha ataondoka Chelsea Mshambulizi Didier Drogba ataihama timu ya Chelsea ya England msimu huu wa joto, baada ya kukichezea klabu kwa muda wa miaka…
Continue Reading....ICC”Viongozi wa Afrika msitishike na wababe wa kivita”
MWENDESHA mashtaka mkuu mpya katika Mahakama ya Kimataifa ya Uhalifu wa Kivita (ICC), Fatou Bensouda, amesema wababe wa kivita wanawatisha viongozi wanaojaribu kuwatia mbaroni. Bi…
Continue Reading....Ngoma afrika kuwasindikiza wa-cameroon siku ya taifa lao
Bendi maarufu ya muziki wa dansi barani ulaya “Ngoma Africa Band” aka FFU, inatarajiwa kupanda jukwaani siku ya jumamosi mjini Stuttgart,Ujerumani kutumbuiza katika sherehe ya…
Continue Reading....