Na mwandishi wetu MIringa CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) kimetaka uwekwe utaratibu maalum utakaowezesha wapasuaji mbao wadogo katika wilaya Mufindi mkoani Iringa, nao kupewa vibali vya…
Continue Reading....Year: 2012
Uamuzi wa mahakama Misri wazua wasiwasi
UAMUZI wa mahakama uliotolewa siku mbili kabla ya kufanyika duru ya pili ya kinyang’anyiro cha urais, unalipa baraza la utawala wa kijeshi nguvu za bunge.…
Continue Reading....Sekondari ya Naura yadorora yaongoza kwa matokeo mabaya
SHULE iliyoko eneo la NJIRO ndiyo Sekondari iliyodorora kielimu Mkoani Arusha Uchunguzi uliofanywa na Shirika la HakiElimu umegundua kuwa Shule ya Sekondari ya Naura iliyoko…
Continue Reading....Ethiopia yawasili kuikabili Twiga Stars
MSAFARA wa watu 25 wa timu ya Taifa ya wanawake ya Ethiopia umewasili leo Juni 14 mwaka huu saa 7 mchana kwa ndege ya Ethiopian…
Continue Reading....