Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • Page 296

Year: 2012

Nape akutana na walimu Mafinga

Posted on: June 16, 2012June 16, 2012 - jomushi
Nape akutana na walimu Mafinga

Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akizungumza na walimu wa shule za sekondari na za msingi mjini Mafinga…

Continue Reading....

Yanga FC kuchagu viongozi kujaza nafasi zilizo wazi

Posted on: June 16, 2012June 16, 2012 - jomushi
Yanga FC kuchagu viongozi  kujaza nafasi zilizo wazi

mjumbe wa kamati ya uchaguzi Yanga, Francis Kaswahili. KAMATI ya Uchaguzi ya TFF inawataarifu wadau na wapenzi wa soka kuwa mchakato wa uchaguzi wa viongozi…

Continue Reading....

Albino Shinyanga kusherekea Mtoto wa Afrika kwa hofu

Posted on: June 15, 2012 - jomushi
Albino Shinyanga kusherekea Mtoto wa Afrika kwa hofu

Watoto wenye ulemavu wa ngozi albino wakiwa katika shule maalumu ya Buhangija iliyopo Manispaa ya Shinyanga wakiwa katika uangalizi kufuatia tishio la mauaji hata hivyo…

Continue Reading....

NAPE ahaidi maendeleo kwa wafanyabiashara wa standi ya Mufindi

Posted on: June 15, 2012June 15, 2012 - jomushi
NAPE ahaidi maendeleo kwa wafanyabiashara wa standi ya Mufindi

NAPE akiwa wilayani Mufundi katika ziara ya siku nne mkoani Iringa kukagua uhai wa Chama na kuhimiza maendeleo amesema atatoa mipira sita na jezi kwa…

Continue Reading....

Jamhuri ya Ireland nje!

Posted on: June 15, 2012June 15, 2012 - jomushi
Jamhuri ya Ireland nje!

FERNANDO Torres alifanikiwa kutumbukiza magoli mawili wavuni katika mechi ambayo Uhispania kwa urahisi ilifanikiwa kuilazimisha Jamhuri ya Ireland kukusanya virago na kuondoka katika mashindano ya…

Continue Reading....

Nape awapiga tafu wanamichezo vijana Mafinga

Posted on: June 15, 2012June 15, 2012 - jomushi
Nape awapiga tafu wanamichezo vijana Mafinga

KATIBU wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye ameahidi kuwapa vifaa vya michezo timu za vijana wanaojishughulisha na kazi za…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari