By James Gashumba, EANA TAASISI ya Trade Mark East Africa (TMEA) imezindua mfuko wa thamani ya dola za Kimarekani milioni 7.5 kufadhili miradi ya ubunifu…
Continue Reading....Month: September 2012
Lowassa aendesha harambee Kanisa la Moravian Mbezi Beach Dar
Waziri Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli, Edward Lowassa akionyeshwa picha ya mfano wa Kanisa la Moravian Ushirika wa Mbezi Beach jijini Dar…
Continue Reading....FIFA kutoa kozi kwa waamuzi Dar es Salaam
KOZI ya wakufunzi wa waamuzi (Futuro III Refereeing Course) ya Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) inaanza Septemba 10 mwaka huu jijini Dar…
Continue Reading....EAC yaomba muda zaidi kuzijadili Sudan na Somalia
By James Gashumba, EANA, Arusha NCHI wananchama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zitaendelea kufanya mashauriano zaidi juu ya maombi ya nchi mbili za Sudani…
Continue Reading....CUF wamshangaa Sumaye kuhoji nguvu za Polisi
*Yasema kiwango cha umasikini Tanzania kinatisha Na Joachim Mushi CHAMA cha Wananchi (CUF) kimemtaka Waziri Mkuu mstaafu, Fredrick Sumaye kuacha kuwatupia lawama Jeshi la Polisi…
Continue Reading....Chadema kujadili mauaji ya Mwangosi
YAKUTANA LEO DAR, MTEI AMTAKA KIKWETE ATOE TAMKO KUHUSU MAUAJI HAYO KAMATI Kuu (CC) Chadema inakutana leo katika kikao chake cha dharura, kujadili hali ya…
Continue Reading....