caption id=”attachment_16824″ align=”aligncenter” width=”640″ caption=”Mkurugenzi Mtendaji wa HakiElimu, Bi. Elizabeth Missokia (kushoto) akitoa vitabu vya somo la Kemia vilivyochapishwa kwa lugha ya Kiswahili pamoja na…
Continue Reading....Month: May 2012
Ugiriki haijapata Serikali
HADI sasa Ugiriki haijaweza kupata Serikali na hatima ya nchi hiyo ndani ya sarafu ya euro sasa imo mashakani, baada ya chama cha mrengo wa…
Continue Reading....Obama aunga mkono ndoa za jinsia moja
RAIS wa Marekani, Barack Obama, ameunga mkono ndoa za jinsia moja, huku maamuzi hayo yakibadilisha msimamo wake wa awali. “Nimefanya maamuzi ya kimapinduzi na lazima…
Continue Reading....Mwili wa Marehemu Rhode P. Muze wasafirishwa kwenda Usangi kwa mazishi
MWILI wa marehemu Rhode Philipo Muze umesafirishwa jana kuelekea Usangi Mwanga mkoani Kilimanjaro tayari kwa mazishi yatakayofanyika Ijumaa ya Mai 12, 2012 saa tisa kijijini…
Continue Reading....Wanaume wazikimbia familia kwa kisingizio cha ugumu wa maisha
Na Joachim Mushi, Handeni BAADHI ya wanaume wamelazimika kuzikimbia familia zao kwa kisingizio cha ugumu wa maisha. Wanaume hao wamezitelekeza familia hizo na kuziacha na…
Continue Reading....