Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • May
  • Page 23

Month: May 2012

Maafisa feki wa Ustawi wa Jamii wajitokeza

Posted on: May 20, 2012May 20, 2012 - jomushi
Maafisa feki wa Ustawi wa Jamii wajitokeza

Na mwandishi wetu Kilimanjaro WIMBI kubwa la watu walioibuka mitaani na kujiita wataalamu wa Ustawi wa jamii ili hali hawana taaluma ya fani hiyo wamejitokeza…

Continue Reading....

Zitto afanya mazungumzo na Spika wa zamani wa Marekani Pelosi

Posted on: May 19, 2012 - jomushi
Zitto afanya mazungumzo na Spika wa zamani wa Marekani Pelosi

Mbunge wa CHADEMA, Zitto Kabwe akiwa katika picha ya pamoja na Spika wa zamani wa Marekani Nancy Pelosi (kushoto) na Mbunge Dennis Kucinich.

Continue Reading....

Obama aitabiria mema Tanzania, ni kuhusu kilimo

Posted on: May 19, 2012 - jomushi
Obama aitabiria mema Tanzania, ni kuhusu kilimo

Na Mwandishi Maalumu, Washington TANZANIA itakua moja ya nchi za mwanzo barani Afrika, kunufaika na mpango wa pamoja wa Kilimo kwa nia ya kuongeza na…

Continue Reading....

Mabondia wapima uzito kwa mpambano

Posted on: May 19, 2012 - jomushi
Mabondia wapima uzito kwa mpambano

MABONDIA, Ramadhan Kumbele na James Mokiwa wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho katika Ukumbi wa VIJANA – KINONDONI. Mabondia wote wapo katika…

Continue Reading....

Omy Dimpoz kuzindua single ‘Baadae’ Bilcanas

Posted on: May 19, 2012 - jomushi
Omy Dimpoz kuzindua single ‘Baadae’ Bilcanas

Na Mwandishi Wetu BAADA ya kutamba na wimbo wake wa Nai Nai Msanii anaekuja juu kwa kasi ya ajabu na mshindi wa Tuzo mbili za…

Continue Reading....

Mbunge wa Mufindi Kusini, apata ajali, alazwa

Posted on: May 19, 2012 - jomushi
Mbunge wa Mufindi Kusini, apata ajali, alazwa

MBUNGE amepata ajali leo na amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa kwa matibabu zaidi. Hata hivyo taarifa zinasema hali yake kwa sasa inaendelea vizuri…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari