Na mwandishi wetu Kilimanjaro WIMBI kubwa la watu walioibuka mitaani na kujiita wataalamu wa Ustawi wa jamii ili hali hawana taaluma ya fani hiyo wamejitokeza…
Continue Reading....Month: May 2012
Zitto afanya mazungumzo na Spika wa zamani wa Marekani Pelosi
Mbunge wa CHADEMA, Zitto Kabwe akiwa katika picha ya pamoja na Spika wa zamani wa Marekani Nancy Pelosi (kushoto) na Mbunge Dennis Kucinich.
Continue Reading....Obama aitabiria mema Tanzania, ni kuhusu kilimo
Na Mwandishi Maalumu, Washington TANZANIA itakua moja ya nchi za mwanzo barani Afrika, kunufaika na mpango wa pamoja wa Kilimo kwa nia ya kuongeza na…
Continue Reading....Mabondia wapima uzito kwa mpambano
MABONDIA, Ramadhan Kumbele na James Mokiwa wamepima uzito kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika kesho katika Ukumbi wa VIJANA – KINONDONI. Mabondia wote wapo katika…
Continue Reading....Omy Dimpoz kuzindua single ‘Baadae’ Bilcanas
Na Mwandishi Wetu BAADA ya kutamba na wimbo wake wa Nai Nai Msanii anaekuja juu kwa kasi ya ajabu na mshindi wa Tuzo mbili za…
Continue Reading....Mbunge wa Mufindi Kusini, apata ajali, alazwa
MBUNGE amepata ajali leo na amelazwa katika Hospitali ya Mkoa wa Iringa kwa matibabu zaidi. Hata hivyo taarifa zinasema hali yake kwa sasa inaendelea vizuri…
Continue Reading....