NDUGU Mwananchi yeyote yuye unakaribishwa katika mfululizo wa SEMINA ZA JINSIA NA MAENDELEO (GDSS) zinazofanyika kila JUMATANO, na wiki hii DEOGRATIUS TEMBA atawasilisha: MADA: Umuhimu…
Continue Reading....Month: April 2012
Upatikanaji huduma ya maji Kisarawe tatizo
Na Joachim Mushi, Kisarawe MGOGORO wa ukosefu wa maji ya matumizi ya nyumbani na shughuli nyingine bado ni kero kubwa kwa wakazi wa Wilaya ya…
Continue Reading....Alichoeleza Lulu polisi juu ya kifo cha Kanumba hiki hapa
MSANII Elizabeth Michael (Lulu), ameiambia polisi kuwa kifo cha Steven Kanumba kimetokana na ugonvi kati yao, huku taarifa nyingine zikieleza kuwa huenda Lulu akafikishwa mahakamani…
Continue Reading....Jenerali Mwita Kyaro afariki, JK amtumia rambirambi
Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Amiri Jeshi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi na Usalama, Jakaya Kikwete amemtumia Mkuu wa…
Continue Reading....Muda wa kusitisha mapigano wamalizika Syria
KUANZIA leo saa 11 alfajiri, umemalizika ule muda wa kuweka chini silaha nchini Syria, kwa mujibu wa mpango wa mjumbe maalum Kofi Annan. Idadi ya…
Continue Reading....Kanumba alitabiri ‘kifo’ chake
Joachim Mushi MSANII maarufu wa filamu, Steven Kanumba aliyezikwa leo jijini Dar es Salaam katika makaburi ya Kinondoni inasadikika kuwa alitabiri kifo chake siku kadhaa…
Continue Reading....