Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • February
  • Page 26

Month: February 2012

Zambia na Ivory Coast kuvaana fainali AFCON

Posted on: February 9, 2012 - jomushi
Zambia na Ivory Coast kuvaana fainali AFCON

IVORY Coast itakutana na Zambia kwenye Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya timu hizo mbili kushinda mechi zao za nusu fainali.…

Continue Reading....

Breaking Newz: Bunge latoa maelekezo serikalini mgomo wa madaktari

Posted on: February 9, 2012February 9, 2012 - jomushi
Breaking Newz: Bunge latoa maelekezo serikalini mgomo wa madaktari

BAADA ya Kamati ya Bunge Huduma za Jamii kumaliza kazi ya kufanya mazungumzo kati ya Serikali na madaktari walioko katika mgomo, imewasilisha taarifa yake bungeni…

Continue Reading....

Sababu ya kujiuzulu kwa kocha Capello!

Posted on: February 9, 2012 - jomushi
Sababu ya kujiuzulu kwa kocha Capello!

ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Uingereza (England), muitalia, Fabio Capello amejiuzulu rasmi kuifundisha timu hiyo. Capello amefikia hatua…

Continue Reading....

Pinda arudi DSM kushughulikia mgomo

Posted on: February 8, 2012February 8, 2012 - jomushi
Pinda arudi DSM kushughulikia mgomo

WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amerejea jijini Dar es Salaam akitokea Dodoma kwa ajili ya kushughulikia mgomo wa madaktari ambao unaendelea maeneo mbalimbali ya nchi, na…

Continue Reading....

Breaking Newz; Kocha wa Uingereza ajiuzulu

Posted on: February 8, 2012February 8, 2012 - jomushi
Breaking Newz; Kocha wa Uingereza ajiuzulu

KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Uingereza (England), fabio Capello amejiuzulu kuifundisha timu hiyo. Taarifa ambayo mtandao huu umezipata muda si mrefu ni kwamba,…

Continue Reading....

Kesi ya Lema kuanza kusikilizwa kesho

Posted on: February 8, 2012 - jomushi
Kesi ya Lema kuanza kusikilizwa kesho

Na Janeth Mushi, Arusha UPANDE wa wadai katika kesi ya kupinga matokeo ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) unatarajia kuanza kutoa ushahidi wake…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari