IVORY Coast itakutana na Zambia kwenye Fainali ya Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) baada ya timu hizo mbili kushinda mechi zao za nusu fainali.…
Continue Reading....Month: February 2012
Breaking Newz: Bunge latoa maelekezo serikalini mgomo wa madaktari
BAADA ya Kamati ya Bunge Huduma za Jamii kumaliza kazi ya kufanya mazungumzo kati ya Serikali na madaktari walioko katika mgomo, imewasilisha taarifa yake bungeni…
Continue Reading....Sababu ya kujiuzulu kwa kocha Capello!
ALIYEKUWA Kocha Mkuu wa Timu ya Taifa ya Mpira wa Miguu ya Uingereza (England), muitalia, Fabio Capello amejiuzulu rasmi kuifundisha timu hiyo. Capello amefikia hatua…
Continue Reading....Pinda arudi DSM kushughulikia mgomo
WAZIRI Mkuu Mizengo Pinda amerejea jijini Dar es Salaam akitokea Dodoma kwa ajili ya kushughulikia mgomo wa madaktari ambao unaendelea maeneo mbalimbali ya nchi, na…
Continue Reading....Breaking Newz; Kocha wa Uingereza ajiuzulu
KOCHA Mkuu wa Timu ya Taifa ya Uingereza (England), fabio Capello amejiuzulu kuifundisha timu hiyo. Taarifa ambayo mtandao huu umezipata muda si mrefu ni kwamba,…
Continue Reading....Kesi ya Lema kuanza kusikilizwa kesho
Na Janeth Mushi, Arusha UPANDE wa wadai katika kesi ya kupinga matokeo ya Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema (CHADEMA) unatarajia kuanza kutoa ushahidi wake…
Continue Reading....