Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • February
  • Page 20

Month: February 2012

Sudan Kusini yafafanua usafirishaji mafuta

Posted on: February 14, 2012February 15, 2012 - jomushi
Sudan Kusini yafafanua usafirishaji mafuta

Na Mwandishi Wetu TAIFA la Sudan Kusini limetoa ufafanuzi juu ya hatua yake ya kusitisha uzalishaji mafuta na mpango wa nchi hiyo wa kusafirisha shehena…

Continue Reading....

Shahidi ‘amchoma’ Lema mahakamani

Posted on: February 14, 2012 - jomushi
Shahidi ‘amchoma’ Lema mahakamani

Na Mwandishi wetu, Arusha SHAHIDI wa pili wa upande wa walalamikaji katika shauri la kupinga matokeo ya uchaguzi wa Mbunge wa Arusha Mjini, Godbless Lema…

Continue Reading....

Rais Kikwete afanya mazungumzo na mjumbe wa Rais wa Urusi

Posted on: February 14, 2012 - jomushi
Rais Kikwete afanya mazungumzo na mjumbe wa Rais wa Urusi

Na Mwandishi Maakumu RAIS wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amekutana na kufanya mazungumzo na Mikhail V. Margelov, Mjumbe Maalum wa Rais wa Urusi, Dmitry Medvedev.…

Continue Reading....

TFF yaomboleza kifo cha Kassim Kashulwe

Posted on: February 14, 2012February 14, 2012 - jomushi
TFF yaomboleza kifo cha Kassim Kashulwe

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limepokea kwa masikitiko taarifa za kifo cha aliyewahi kuwa mjumbe wake wa Kamati ya Utendaji,…

Continue Reading....

CCM yatoa ratiba ya uchaguzi Arumeru Mashariki

Posted on: February 13, 2012 - jomushi
CCM yatoa ratiba ya uchaguzi Arumeru Mashariki

HALMASHAURI Kuu ya CCM Taifa katika kikao chake cha siku moja chini ya uenyekiti wa Mwenyekiti wa Taifa Dr. Jakaya M. Kikwete, pamoja na mambo…

Continue Reading....

Yanga, Ruvu shooting waingiza mil 47.5

Posted on: February 13, 2012 - jomushi
Yanga, Ruvu shooting waingiza mil 47.5

Na Mwandishi wetu WATAZAMAJI 14,150 ndiyo waliokata tiketi kushuhudia pambano la Ligi Kuu ya Vodacom kati ya Yanga na Ruvu Shooting lililochezwa jana (Februari 12…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari