Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • February
  • Page 18

Month: February 2012

Kocha Poulsen ataja 23 watakaoivaa Msumbiji

Posted on: February 17, 2012 - jomushi
Kocha Poulsen ataja 23 watakaoivaa Msumbiji

KOCHA wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Jan Poulsen Februari 16 mwaka huu ametangaza kikosi cha wachezaji 23 kwa ajili ya mechi ya mchujo ya…

Continue Reading....

UN yapitisha azimio kulaani vitendo vya Syria

Posted on: February 17, 2012 - jomushi
UN yapitisha azimio kulaani vitendo vya Syria

BARAZA Kuu la Umoja wa Mataifa(UN) limeidhinisha kura ya azimio kuhusu Syria sawa na ile iliyopigiwa kura ya turufu na Urusi na Uchina katika baraza…

Continue Reading....

Mawaziri wawili wajiuzulu nchini Uganda

Posted on: February 17, 2012 - jomushi
Mawaziri wawili wajiuzulu nchini Uganda

MAWAZIRI wawili ambao waliamuliwa kuwajibika nakuisababbishia serikali hasara ya dola milioni 60, kutokana na malipo ya kufidia mfanya biashara baada ya kupoteza umilikaji wa soko…

Continue Reading....

Serikali ilikurupuka ujezi wa Machinga Complex?

Posted on: February 15, 2012 - jomushi
Serikali ilikurupuka ujezi wa Machinga Complex?

Na Mwandishi Wetu WAKATI mwingine mtu unaweza kuwa na wazo zuri la kimaendeleo lakini baada ya kulitekeleza na usimamizi wake kuwa mbaya laweza onekana kero…

Continue Reading....

Rais Kikwete mgeni rasmi Mkutano Mkuu wa Holy Ghost Missionaries

Posted on: February 15, 2012 - jomushi
Rais Kikwete mgeni rasmi Mkutano Mkuu wa Holy Ghost Missionaries

Na Mwandishi Maalumu RAIS wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amealikwa kuwa mgeni rasmi kwenye Mkutano Mkuu (General Chapter) wa 20 wa Shirika la Ukasisi wa…

Continue Reading....

CCM yakana kuwaengua wazee vikao vya chama

Posted on: February 15, 2012 - jomushi
CCM yakana kuwaengua wazee vikao vya chama

Na Joachim Mushi CHAMA cha Mapinduzi (CCM) kimekanusha taarifa zinazotolewa na baadhi ya watu kuwa Kikao cha Halmashauri Kuu Taifa (NEC) cha juzi Dodoma kilichotoka…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari