Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2012
  • January
  • Page 18

Month: January 2012

Mashambulio ya wanawake wavaa suruali yakithiri Malawi

Posted on: January 21, 2012 - jomushi
Mashambulio ya wanawake wavaa suruali yakithiri Malawi

TAKRIBANI watu 3,000 wamekusanyika Blantyre nchini Malawi kupinga mashambulio dhidi ya wanawake wanaovaa suruali. Baadhi ya wachuuzi wa kike wiki hii walipigwa na kuvuliwa nguo…

Continue Reading....

Milipuko yatikisa mji wa Kano, Nigeria al-shabab yahusishwa

Posted on: January 21, 2012 - jomushi
Milipuko yatikisa mji wa Kano, Nigeria al-shabab yahusishwa

Watu kadhaa wameripotiwa kuuawa kwenye milipuko iliyotokea katika mji wa Kano, kaskazini mwa Nigeria. Vituo vya Polisi pamoja na makao makuu ya Polisi eneo hilo…

Continue Reading....

Warsha ya makampuni ya mawakala tiketi za ndege

Posted on: January 20, 2012January 20, 2012 - jomushi
Warsha ya makampuni ya mawakala tiketi za ndege

Continue Reading....

Wazimbabwe kuwachezesha Twiga Stars

Posted on: January 20, 2012 - jomushi
Wazimbabwe kuwachezesha Twiga Stars

MECHI ya marudiano kusaka tiketi ya kucheza fainali za Nane za Kombe Afrika kwa Wanawake (AWC) zitakazofanyika Novemba mwaka huu nchini Equatorial Guinea kati ya…

Continue Reading....

ZH Poppe yatoa tiketi kwa waamuzi

Posted on: January 20, 2012 - jomushi
ZH Poppe yatoa tiketi kwa waamuzi

KAMPUNI ya ZH Hope Limited imegharamia tiketi za waamuzi na kamishna atakayesimamia mechi ya mchujo kuwania tiketi ya kucheza fainali za Afrika kwa Wanawake (AWC)…

Continue Reading....

Walemavu wanasahaulika mapambano ya Ukimwi

Posted on: January 19, 2012 - jomushi
Walemavu wanasahaulika mapambano ya Ukimwi

Na Mwandishi Wetu VIKWAZO kadhaa vinavyowakabili watu wenye ulemavu hasa kupata elimu na ufahamu wa kutosha juu ya ugonjwa wa Ukimwi, vinairudisha nyuma jamii hiyo.…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari