Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • Page 18

Year: 2011

Rais Kikwete akiwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Nchi za Maziwa Makuu (ICGLR)

Posted on: December 15, 2011December 15, 2011 - jomushi
Rais Kikwete akiwa katika Mkutano wa Wakuu wa Nchi Wanachama wa Umoja wa Nchi za Maziwa Makuu (ICGLR)

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete, Desemba 15, 2011 ameungana na viongozi wenzake wa nchi wanachama wa Umoja wa Nchi za Maziwa…

Continue Reading....

Rais Kikwete aenda Uganda kuhudhuria mkutano wa ICGLR

Posted on: December 15, 2011 - jomushi
Rais Kikwete aenda Uganda kuhudhuria mkutano wa ICGLR

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete ameondoka nchini leo, Desemba 15, 2011, kwenda Kampala, Uganda ambako ataungana na viongozi…

Continue Reading....

Kambi ya Ngumi Ilala kumuandaa bondia Ubwa Salum

Posted on: December 15, 2011 - jomushi
Kambi ya Ngumi Ilala kumuandaa bondia Ubwa Salum

KAMBI ya Mchezo wa Ngumi ya Mkoa wa Kimichezo wa Ilala, Dar es Salaam, inamuandaa bondia Ubwa Salum kwa ajili ya pambano lake dhidi ya…

Continue Reading....

Wanajeshi wa Marekani waondoka Iraq

Posted on: December 15, 2011 - jomushi
Wanajeshi wa Marekani waondoka Iraq

RAIS wa Marekani Barack Obama maeadhimisha kumalizika kwa vita vya Iraq kwa kupongeza “mafanikio yasiyo ya kawaida” kwa vikosi vya Marekani katika mapigano ambayo yalipingwa…

Continue Reading....

Marekani yasema uchaguzi DRC ulikuwa na dosari

Posted on: December 15, 2011 - jomushi
Marekani yasema uchaguzi DRC ulikuwa na dosari

MAREKANI imesema uchaguzi uliofanyika hivi karibuni Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) ulikuwa na dosari nyingi, hivyo kutaka mchakato wa tathmini urejewe upya. Matokeo rasmi…

Continue Reading....

Matokeo STD VII yatangazwa, watahiniwa 567,567 wafaulu, 9,736 wafutiwa matokeo

Posted on: December 14, 2011 - jomushi
Matokeo STD VII yatangazwa, watahiniwa 567,567 wafaulu, 9,736 wafutiwa matokeo

Na Gradys Sigera na Magreth Kinabo – MAELEZO JUMLA ya wanafunzi 567,567 wamefaulu Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi Mwaka 2011, na sasa watafanyiwa mtihani…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari