Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • September
  • Page 26

Month: September 2011

Salamu za rambirambi toka kwa wasomaji wa mtandao wa dev.kisakuzi.com kuhusiana na ajali ya Meli Zanzibar

Posted on: September 11, 2011 - jomushi
Salamu za rambirambi toka kwa wasomaji wa mtandao wa dev.kisakuzi.com kuhusiana na ajali ya Meli Zanzibar

Zifuatazo ni salamu mbalimbali za rambirambi na maoni kwa Serikali, ndugu, jamaa na marafiki kutoka kwa wasomaji wa dev.kisakuzi.com na wadau anuai kuhusiana na ajali…

Continue Reading....

TFF yafanya marekebisho tena mechi za Taifa

Posted on: September 11, 2011 - jomushi
TFF yafanya marekebisho tena mechi za Taifa

SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu Tanzabia (TFF), ilimefanya marekebisho kwa mechi za Uwanja wa Taifa ili kutekeleza maagizo ya Serikali kucheza mechi mbili tu za…

Continue Reading....

Kopeni fedha benki mjenge hoteli- Waziri Mkuu Pinda

Posted on: September 11, 2011 - jomushi
Kopeni fedha benki mjenge hoteli- Waziri Mkuu Pinda

WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amewahimiza wakazi wa Wilaya ya Mpanda ambayo inatarajiwa kuwa Makao Makuu ya Mkoa mpya wa Katavi wachukue mikopo benki na kuwekeza…

Continue Reading....

SALAMU ZA RAMBIRAMBI TOKA dev.kisakuzi.com

Posted on: September 11, 2011 - jomushi
SALAMU ZA RAMBIRAMBI TOKA dev.kisakuzi.com

Uongozi na wadau wote wa ‘gazeti’ mtandao la dev.kisakuzi.com unaungana na Watanzania wote katika maombolezo ya ajali na msiba mkubwa uliotokea Zanzibar, baada ya kuzama…

Continue Reading....

Masikini Yangaaa! yaendelea kutota Ligi Kuu

Posted on: September 11, 2011 - jomushi
Masikini Yangaaa! yaendelea kutota Ligi Kuu

TIMU ya Yanga ya Dar es Salaam imeendelea kuchechemea katika Ligi Kuu ya Vodacom Tanzania baada ya mdudu wa sare kumng’ang’ania tena na timu ya…

Continue Reading....

TANGAZO; TOYOTA- DCM INAUZWA

Posted on: September 11, 2011 - jomushi
TANGAZO; TOYOTA- DCM INAUZWA

GARI AINA YA TOYOTA-DCM LINAUZWA JIJINI DAR ES SALAAM, LIPO KATIKA HALI NZURI NA LINATEMBEA. KWA SASA LINAFANYA SAFARI ZA MBAGALA -UBUNGO. BEI YAKE NI…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari