Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • September
  • Page 25

Month: September 2011

SBL kufadhili masomo kwa wanafunzi wasiojiweza 2011

Posted on: September 12, 2011September 12, 2011 - jomushi
SBL kufadhili masomo kwa wanafunzi wasiojiweza 2011

Na Mwandishi Wetu KAMPUNI ya Bia ya Serengeti (SBL) imetangaza kuanza kwa mchakato wa ufadhili wa masomo ya elimu ya juu kwa mwaka 2011. Taarifa…

Continue Reading....

Salamu za rambirambi kutoka mtandao wa Hakielimu

Posted on: September 12, 2011September 12, 2011 - jomushi
Salamu za rambirambi kutoka mtandao wa Hakielimu

Tunatoa pole kwa Watanzania wote kwa msiba uliotakana na ajali ya meli huko Tanzania visiwani. Mwenyezi Mungu awalaze ndugu zetu wote waliotangulia mbele za haki,…

Continue Reading....

Salam za Rambirambi kutoka Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU)

Posted on: September 12, 2011September 12, 2011 - jomushi
Salam za Rambirambi kutoka  Umoja wa Watanzania Ujerumani (UTU)

WATANZANIA tunaoishi ujerumani tumesikitishwa sana na habari mbaya ya ajali ya meli iliyotokea 10.09.11 katika bahari ya hindi katikati ya visiwa vya Pemba na Unguja…

Continue Reading....

Dk. Chami afungua maonesho ya wajasiriamali Mbinga

Posted on: September 11, 2011September 11, 2011 - Rungwe Jr.
Dk. Chami afungua maonesho ya wajasiriamali Mbinga

Na Dunstan Mhilu, Mbinga MAONESHO ya wajasiriamali wadogo na wakati Kanda ya Kusini yamefunguliwa rasimi na Waziri wa Viwanda na Biashhara Dk. Cyril Chami katika …

Continue Reading....

Pinda azindua Tawi la Benki ya CRDB Mpanda

Posted on: September 11, 2011 - jomushi
Pinda azindua Tawi la Benki ya CRDB Mpanda

Na Mwandishi Wetu WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda amesisitiza kuwa uwekezaji katika wilaya ya Mpanda na Mkoa mzima wa Rukwa ni wa lazima na hauwezi kuepukika…

Continue Reading....

JK atoa milioni 300 ajali ya Meli Zanzibar

Posted on: September 11, 2011 - jomushi
JK atoa milioni 300 ajali ya Meli Zanzibar

Na Mwandishi Wetu SERIKALI ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa kiasi cha sh. milioni 300 zitakazotumika katika shughuli zima ya uokoaji pamoja na kusaidia…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari