Na Mwandishi wa Jeshi la Polis- Pemba BALOZI wa Polisi Jamii nchini, Bi. Rahma Al-Kharoosi ametoa sh. milioni 10 fedha ambazo zitatumika kuwasaidia waathirika wa…
Continue Reading....Month: August 2011
Kheri ya Mfungo wa Ramadhani wadau wote!
WAISLAM nchini Tanzania tarari wameungana na wenzao duniani kote kuanza mfungo mtukufu wa mwezi wa Ramadhani. Uongozi na wafanyakazi wa dev.kisakuzi.com unawatakia Ramadhani njema!
Continue Reading....Sakata la samaki wenye ‘sumu’: Japan yatoa tamko
WAKATI Serikali ya Japan ikikanusha kuwa samaki waliosafirishwa kuja nchini hawana aina yoyote ya mionzi hatari kwa binadamu, Tanzania imesema wizara tatu zinatarajia kukutana hivi…
Continue Reading....Malecela ataka uamuzi mgumu dhidi ya Lowassa, Chenge
Dodoma MWANASIASA mkongwe, Samuel John Malecela, amekitaka Chama cha Mapinduzi (CCM) kuchukua maamuzi thabiti ya kumalizana na dhana ya kujivua gamba kwa ama kutekeleza au…
Continue Reading....Serikali yashusha bei ya mafuta
Dodoma, MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imeshusha bei za mafuta ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kunzia leo. Akizungumza…
Continue Reading....Picha mbalimbali za maonesho ya Nane Nane mjini Dodoma
Ofisa Mfuko wa Hiari wa Kujiwekea akiba uzeeni (GEPF), Aziza Selemani akitoa ufafanuzi kwa mwananchi aliyetembelea banda la Wizara ya Fedha kwenye maonesho ya Wakulima…
Continue Reading....