Mkurugenzi wa Masoko na Mahusiano wa KCB Tanzania, Christine Manyenye akiwa na moja ya zawadi ambayo alikabidhiwa mmoja ya Wakurugenzi wa benki hiyo wakati wa…
Continue Reading....Month: August 2011
Ewura yang’ata yaifungia BP, yaamuru viongozi wafikishwe mahakamani
Na Mwandishi Wetu BODI ya Wakurugenzi ya Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA), imeagiza Mtendaji Mkuu na Mwenyekiti wa Kampuni ya…
Continue Reading....Upatikanaji mafuta Arusha bado ni tatizo
Na Janeth Mushi, Arusha TATIZO la upatikanaji wa mafuta bado limeendelea kuwa kero katika maeneo mengi jijini hapa kutokana na vituo kadhaa vinavyouza mafuta ya…
Continue Reading....Mwinyi aitaka jamii kusaidia makundi ya wasiojiweza
Na Anna Titus na Happiness Tesha, MAELEZO-Dar-es-Salaam RAIS mstaafu Ali Hassani Mwinyi ameyataka mashirika, taasisi za kijamii na makundi mengine kujitokeza na kuwasaidia watu wasiojiweza…
Continue Reading....Mkurugenzi Manispaa Arusha asema hana taarifa za kufukuzwa kwa madiwani Chadema
Na Janeth Mushi, Arusha MKURUGENZI wa Manispaa ya Arusha, Estomih Chang’a amesema kuwa bado hajapokea barua kutoka katika Chama Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)…
Continue Reading....‘Hongera Deusdedit Sise Muhono kuidhinishwa uwakili’
Bw. Deusdedit Sise Muhono akikabidhiwa cheti cha Uwakili na Mhe. Jaji Mkuu wa Tanzania katika sherehe za kuwatambua na kuwakabidhi vyeti mawakili wa kujitegemea iliyofanyika…
Continue Reading....