NEWCASTLE imetoka sare ya 0-0 na Arsenal katika mchezo uliokuwa na kasoro za hapa na pale. Katika mchezo huo mshambuliaji wa Arsenal kutoka Ivory Coast,…
Continue Reading....Month: August 2011
Waziri Ngeleja ‘apona’, bajeti yake yapitishwa
Na Mwandishi Wetu, Dodoma. HATIMAYE Bunge limepitisha bajeti ya Wizara ya Nishati na Madini baada ya kuifanyia marekebisho na kuwasilisha mpango wa dharura wa kuondoa…
Continue Reading....Kikwete: Hakuna Mtanzania ataekufa kwa njaa
Na Mwandishi Maalumu, Shinyanga RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amewataka wakuu wa wilaya nchini kwa maeneo yanayoonesha dalili za uhaba wa chakula kutoa taarifa haraka…
Continue Reading....MUVI kufunga mashine ya kusindika mhogo kijijini Kilosa
Na Mwandishi Wetu, Mbinga UONGOZI wa Muunganisho wa Ujasiriamali Vijijini (MUVI) umekagua jengo ambalo umepanga kuweka mashine ya usindikaji wa zao la mhogo, wilayani Mbinga…
Continue Reading....Rais Kikwete amzika Jenerali Mayunga Shinyanga
Na Mwandishi Maalumu, Shinyanga RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete Agosti 12, 2011 aliongoza mamia ya waombolezaji kumzika Luteni Jenerali Silas Peter Mayunga kwenye makaburi ya…
Continue Reading....Wanawake Somalia hatarini kubakwa
Somalia, UMOJA wa Mataifa (UN) umearifu kwamba wanawake wanaoikimbia njaa Somalia wanazidi kuwamo katika hatari ya kufanyiwa vitendo vya ngono kwa mabavu, wanapokuwa njiani kuelekea…
Continue Reading....