Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • August
  • Page 24

Month: August 2011

Mkuu wa zamani wa Jeshi Zimbabwe afa kwa moto

Posted on: August 17, 2011August 17, 2011 - jomushi
Mkuu wa zamani wa Jeshi Zimbabwe afa kwa moto

MKUU wa zamani wa Jeshi la Zimbabwe amefariki dunia akiwa ndani ya shamba lake, hii ni kwa mujibu wa taarifa rasmi ilizozipata BBC. Taarifa zaidi…

Continue Reading....

Mkuu wa zamani Jeshi la Zimbabwe afariki dunia

Posted on: August 17, 2011September 7, 2011 - jomushi
Mkuu wa zamani Jeshi la Zimbabwe afariki dunia

Mkuu wa zamani wa Jeshi la Zimbabwe Solomon Mujuru amefariki dunia kwa moto katika shamba lake, taarifa rasmi zimeifikia BBC. Bw Mujuru mwenye umri wa…

Continue Reading....

Tanzania kutumia mil 400 katika sensa ya majaribio

Posted on: August 17, 2011 - jomushi
Tanzania kutumia mil 400 katika sensa ya majaribio

Na Tiganya Vicent, MAELEZO JUMLA ya sh. milioni 400 zinatarajiwa kutumika kugharamia shughuli za uendeshaji wa sensa ya majaribio itakayofanyika Septemba 4 hadi 11 mwaka…

Continue Reading....

Wanajeshi wadaiwa kuvamia kijiji Dar

Posted on: August 16, 2011 - jomushi
Wanajeshi wadaiwa kuvamia kijiji Dar

TAARIFA zilizotufikia jana majira ya saa nne asubuhi kutoka nje kidogo ya jiji la Dar es Salaam ni kwamba; watu wanaodaiwa kuwa ni Wanajeshi wa…

Continue Reading....

Madereva ‘bodaboda’ wateketeza Prado kwa moto Arusha

Posted on: August 16, 2011 - jomushi
Madereva ‘bodaboda’ wateketeza Prado kwa moto Arusha

Na Janeth Mushi, Arusha JOPO la waendesha pikipiki maarufu kama “bodaboda” mkoani hapa wameteketeza gari kwa moto baada ya gari hilo kumsababishia kifo dereva mwenzao…

Continue Reading....

Dk Bilal azindua rasmi maghorofa ya Polisi Kilwa

Posted on: August 16, 2011 - jomushi
Dk Bilal azindua rasmi maghorofa ya Polisi Kilwa

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akikata utepe kuzindua Maghorofa 30 ya Kambi ya Polisi yaliyopo Barabara ya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari