Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • August
  • Page 18

Month: August 2011

Saba watiwa mbaroni Arusha kwa tuhuma za ujambazi

Posted on: August 20, 2011 - jomushi
Saba watiwa mbaroni Arusha kwa tuhuma za ujambazi

Na Janeth Mushi, Arusha JESHI la Polisi Mkoa wa Arusha kwa kushirikiana na Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linawashikilia watu saba wanaodhaniwa kuwa ni majambazi,…

Continue Reading....

Fifa yaruhusu ITC ya Kago itolewe

Posted on: August 20, 2011 - jomushi
Fifa yaruhusu ITC ya Kago itolewe

Na Mwandishi Wetu SHIRIKISHO la Mpira wa Miguu la Kimataifa (FIFA) limeruhusu Shirikisho la Mpira wa Miguu Jamhuri ya Afrika ya Kati kutoa Hati ya…

Continue Reading....

African Lyon kuwalipa Komba, Masenga kwa viingilio

Posted on: August 20, 2011 - jomushi
African Lyon kuwalipa Komba, Masenga kwa viingilio

Na Mwandishi Wetu TIMU ya African Lyon imeomba kuwalipa kwa makato ya mlangoni wachezaji wake wawili wanaoidai; Godfrey Komba na Abdul Masenga ambao ilikatiza mikataba…

Continue Reading....

Majeshi ya NATO yakabidhi ulinzi kwa Afghanistan

Posted on: August 20, 2011August 20, 2011 - jomushi
Majeshi ya NATO yakabidhi ulinzi kwa Afghanistan

Afghanistan imeanza utaratibu wa kuchukua madaraka ya usalama yenyewe, na jimbo la Banyan limekuwa la mwanzo kukabidhiwa na jeshi la NATO kwa polisi wa Afghanistan.…

Continue Reading....

Vifo vya askari wa Marekani vyaongezeka Afghanistan

Posted on: August 20, 2011 - jomushi
Vifo vya askari wa Marekani vyaongezeka Afghanistan

  Askari wa Jeshi la Marekani wameendelea kuteketea na kufikia askari 31 ikilinganisha na mapema miezi iliyopita hii ni kutokana na kuanguka kwa helkopata ya…

Continue Reading....

Afghanistan yashambulia ofisi ya Uingereza, Kabul

Posted on: August 20, 2011August 20, 2011 - jomushi
Afghanistan yashambulia ofisi ya Uingereza, Kabul

Washambuliaji waliojitoa mhanga wameshambulia afisi za British Council katika mji mkuu wa Afghanistan, Kabul, na kuwaua takriban watu tisa na kushikilia eneo la Ofisi hizo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari