Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • August
  • Page 16

Month: August 2011

Siku za Gaddafi za hesabika

Posted on: August 22, 2011August 22, 2011 - jomushi
Siku za Gaddafi za hesabika

Rais wa Marekani Barack Obama amesema utawala wa Gaddafi umefikia ukingoni na kumtaka aondoke madarakani ili kuepusha damu zaidi kumwagika. Amewataka waasi kuheshimu haki za…

Continue Reading....

Tripoli yachukuliwa na Waasi, mtoto wa Gaddafi akamatwa

Posted on: August 22, 2011August 22, 2011 - jomushi
Tripoli yachukuliwa na Waasi, mtoto wa Gaddafi akamatwa

PICHA za televisheni zinaonesha Waasi wakiwa katika Uwanja wa Green Square ndani ya Mji Mkuu, huku makundi ya watu wenye furaha wakisherehekea kuwasili kwa waasi…

Continue Reading....

JK: Uongozi ni utumishi wa wananchi

Posted on: August 22, 2011 - jomushi
JK: Uongozi ni utumishi wa wananchi

Na Mwandishi Maalumu, Lindi RAIS wa Tanzania, Jakaya Kikwete amesema kazi kubwa ya viongozi ni kusikiliza na kutafuta ufumbuzi wa matatizo na kero za wananchi,…

Continue Reading....

NMB kutoa mikopo kwa wajasiriamali

Posted on: August 21, 2011August 21, 2011 - jomushi
NMB kutoa mikopo kwa wajasiriamali

Na Mwandishi Wetu, Iringa MUUNGANO wa Ujasiriamali Vijijini (MUVI) umefanikiwa kuwaunganisha wajasiriamali mkoani Iringa na Benki ya NMB mkoani humo, ili kuwasaidia kujipatia mafaniko zaidi…

Continue Reading....

Dk. Bilal awazawadia washindi wa kuhifadhi Qur-an

Posted on: August 21, 2011 - jomushi
Dk. Bilal awazawadia washindi wa kuhifadhi Qur-an

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, akimkabidhi zawadi, mshindi wa kwanza wa fainali wa mashindano ya kuhifadhi Qur-an,…

Continue Reading....

Yanga yachezea kichapo tena, Simba yatafuna tena

Posted on: August 21, 2011 - jomushi
Yanga yachezea kichapo tena, Simba yatafuna tena

Na Mwandishi Wetu TIMU ya Yanga ya Dar es Salaam jana imeendelea kuanza vibaya Ligi Kuu ya Vodacom baada ya kujikuta ikifungwa tena na Timu…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari