Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • 2011
  • July
  • Page 36

Month: July 2011

TWIGA STARS Vs ZIMBABWE KUPAMBANA KESHO

Posted on: July 6, 2011 - jomushi
TWIGA STARS Vs ZIMBABWE KUPAMBANA KESHO

Harare, Tanzania ‘Twiga Stars’ inajitupa uwanjani kesho (Julai 7) kuwakabili wenyeji Zimbabwe ‘Mighty Warriors’ katika mechi ya pili ya nusu fainali ya michuano ya Baraza…

Continue Reading....

Mbunge Chadema aitaka Serikali kutaja mshahara kima cha chini

Posted on: July 5, 2011 - jomushi
Mbunge Chadema aitaka Serikali kutaja mshahara kima cha chini

Na Mwandishi wa Thehabari Dodoma Mbunge wa Viti Maalumu CHADEMA, Rose Kamili MBUNGE wa Viti Maalumu CHADEMA, Rose Kamili ameitaka Serikali kueleza kinagaubaga kima cha…

Continue Reading....

Rais Kikwete kutembelea Saba Saba leo

Posted on: July 5, 2011July 5, 2011 - jomushi
Rais Kikwete kutembelea Saba Saba leo

Na Joachim Mushi RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Kikwete leo anatarajia kutembelea Maonesho ya 35 ya Biashara Kimataifa katika viwanja vya Mwalimu…

Continue Reading....

AND NOW IT IS MUAMMAR GHADDAFI’S TURN

Posted on: July 5, 2011July 5, 2011 - Rungwe Jr.
AND NOW IT IS MUAMMAR GHADDAFI’S TURN

By Khalid S Mtwangi Recent history is replete with forced regime changes that have been initiated, engineered and invariably the assault is led by one…

Continue Reading....

Serikali yamsafisha Chenge kashfa ya rada

Posted on: July 5, 2011 - jomushi
Serikali yamsafisha Chenge kashfa ya rada

Dodoma SERIKALI imemsafisha aliyekuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Andrew Chenge kwa madai kuwa hahusi na kashfa ya Rada na kutaka mwenye ushahidi apeleke na serikali…

Continue Reading....

Dk. Shein apokea ripoti ya kura za maoni na Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar

Posted on: July 5, 2011 - jomushi
Dk. Shein apokea ripoti ya kura za maoni na Uchaguzi Mkuu wa Zanzibar

Pichani Dk. Shein akipokea ripoti hiyo kutoka kwa Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi ya Zanzibar, Khatib Mwinchande. Picha kwa hisani ya Ikulu Zanzibar. Na Rajab…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari