Pamoja na notisi iliyobandikwa tarehe 13.5.2013, ikiwataka wabomoe majengo hayo. Wakazi hao wamepuuza notisi hiyo, na sasa nyumba hizo zimekamilika na wakazi wameshahamia. Mwandishi alishuhudia…
Continue Reading....Tag: wakazi
Mlalakuwa Mto Wetu Afya Yetu!
Bango la kuhamasisha usafi katika Mto wa Mlalakuwa, ambalo lilibeba kauli mbiu isemayo “Mlalakuwa Mto Wetu, Afya Yetu” kama lilivyonaswa na thehabari leo. Mstahiki Meya…
Continue Reading....Huu ni Msimu wa Miogo Tanzania, Zijue Faida zake!
Virutubisho vya muogo vinatoka kwenye madini ya zinc, iron, na magnesium, ambayo yanasaidia damu kusambaza oksijeni mwilini. Kwa kiasi kidogo cha Potassium, vyakula vilivyoandaliwa na…
Continue Reading....Wakazi wa Jangwani Waanza Kurejea Kwenye Makazi Yao Licha ya Maafa Yaliyowakuta!
Kama picha zilivyonaswa na thehabari hapo juu, inaonekana wakazi wa Jangwani wakirejesha makazi yao licha ya maafa makubwa yaliyowakuta kutokana na mvua kubwa zilizolikumba jiji…
Continue Reading....Mafuriko Ya Dar Yaleta Neema Kwa Baadhi ya Wakazi Wake!
Thehabari leo ilivinjari maeneo ya Mto Mzinga, eneo la kwa Mpalange, Manispaa ya Temeke, na kushuhudia biashara ya kuvusha watu ikiendelea kutoka upande mmoja wa…
Continue Reading....Mwananchi- Usifikiri Dampo, ni Kituo Cha Daladala!
Picha ya kwanza, inaonyesha chakula (mapaja ya kuku) kikiuzwa pembezoni mwa kituo cha Mabasi, Banana, wilayani Ilala. Meza zimewekwa juu ya mifereji ya kupitisha Maji…
Continue Reading....