Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • serikali
  • Page 4

Tag: serikali

Rais Kikwete Amteua Masaju Kumrithi Werema

Posted on: January 4, 2015 - jomushi
Post Tags: George Masaju, Mwanasheria Mkuu, serikali
Rais Kikwete Amteua Masaju Kumrithi Werema

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Jakaya Mrisho Kikwete amemteua George Mcheche Masaju kuwa Mwanasheria Mkuu wa Serikali. Uteuzi wa Masaju ulianza Januari 2,…

Continue Reading....

Serikali Yaanza Kujibu ‘Escrow’ Bungeni, Yadai PAC Imedanganya…!

Posted on: November 27, 2014 - jomushi
Post Tags: Bungeni, Escrow, Kamati ya PAC, serikali
Serikali Yaanza Kujibu ‘Escrow’ Bungeni, Yadai PAC Imedanganya…!

SERIKALI imeanza kujibu hoja za tuhuma za uwepo wa uchotwaji wa fedha kwenye akaunti ya Tegeta Escrow takribani sh. bilioni 306 zinazodaiwa kuchotwa na watu…

Continue Reading....

Serikali, Sekta Binafsi Kuwezesha Wasomi Kujiajiri…!

Posted on: November 22, 2014 - jomushi
Post Tags: Sekta Binafsi, serikali, Wasomi kwa Ajira
Serikali, Sekta Binafsi Kuwezesha Wasomi Kujiajiri…!

Na Eleuteri Mangi- Dodoma SERIKALI imesema inaendelea kushirikiana na sekta binafsi kuweka mazingira rafiki kwa kuboresha mifumo ya ajira katika sekta ya umma na ile…

Continue Reading....

Akaunti ya Escrow Yamtesa Pinda Bungeni, Wabunge Wacharuka

Posted on: November 20, 2014 - jomushi
Post Tags: Akaunti ya Escrow, Bungeni, serikali
Akaunti ya Escrow Yamtesa Pinda Bungeni, Wabunge Wacharuka

Na Joachim Mushi TUHUMA za uchotaji wa fedha Dola za Marekani milioni 200 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyotua bungeni imeendelea kuitesa Serikali huku kukiwa…

Continue Reading....

Serikali Ichukue Hatua Kupunguza Uhaba wa Dawa

Posted on: November 20, 2014 - jomushi
Post Tags: MSD na Sikika, serikali, Uhaba wa Dawa
Serikali Ichukue Hatua Kupunguza Uhaba wa Dawa

TUNASIKITISHWA na namna ambavyo serikali imekuwa ikishughulikia suala laupungufu wa dawa na vifaa tiba nchini. Siku za karibuni, kumekuwepo na taarifa za ukosefu wa dawa…

Continue Reading....

Serikali Kupunguza Maambukizi ya Ukimwi Hadi Sifuri

Posted on: November 13, 2014 - jomushi
Post Tags: Maambukizi, serikali, Ukimwi
Serikali Kupunguza Maambukizi ya Ukimwi Hadi Sifuri

Na Genofeva Matemu – Maelezo SERIKALI imepanga mikakati na kusimamia juhudi zinazofanywa na kuendelezwa na wadau wa ukimwi kuhakikisha kuwa maambukizi mapya ya virusi vya…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari