Skip to content
Habari  | Michezo | Mahusiano | Blog Tanzania
  • Habari
    • Habari za Kimataifa
    • Habari za Uchunguzi
    • Habari za biashara
    • Habari za Vijijini
  • Matukio Katika Picha
  • Burudani
  • Uchambuzi
  • Michezo
    • Matokeo Ya Ligi Kuu Ya Uingereza (English Premier League)
  • Home
  • Dar
  • Page 7

Tag: Dar

Msomaji Hachagui Shule, na Mchagua Shule Si Msomaji!

Posted on: April 26, 2014April 26, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, mwanafunzi, shule, wanafunzi
Msomaji Hachagui Shule, na Mchagua Shule Si Msomaji!

Hii shule ya chekechea ipo Goba jijini Dar, na taarifa tulizozipata ni kwamba Ina wanafunzi 50. Picha na Mpiga picha wetu Maalum.

Continue Reading....

Maandalizi ya Kusheherekea Miaka 50 ya Muungano

Posted on: April 25, 2014April 25, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: bunge la katiba, Dar, kinondoni, Muungano, serikali, sherehe, wilaya
Maandalizi ya Kusheherekea Miaka 50 ya Muungano

Pichani juu, Ofisi za Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni zikiwa zimepambwa kwa bendera ya Tanzania, sambamba na maeneo mengine ya Jiji la Dar. Wakati mabilioni…

Continue Reading....

Bustani ya Kupumzikia Yageuzwa Makazi!

Posted on: April 24, 2014April 24, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, kijana, makazi, Vijana
Bustani ya Kupumzikia Yageuzwa Makazi!

Pichani, ni eneo la Umoja Wa Vijana, Mtaa wa Kipande karibu na Exim Bank, inaonekana nguo zikiwa zimeanikwa kwenye Bustani hiyo au kwa ung’eng’e Park.…

Continue Reading....

Wakazi wa Jangwani Waanza Kurejea Kwenye Makazi Yao Licha ya Maafa Yaliyowakuta!

Posted on: April 24, 2014April 24, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, maafa, makazi, wakazi
Wakazi wa Jangwani Waanza Kurejea Kwenye Makazi Yao Licha ya Maafa Yaliyowakuta!

Kama picha zilivyonaswa na thehabari hapo juu, inaonekana wakazi wa Jangwani wakirejesha makazi yao licha ya maafa makubwa yaliyowakuta kutokana na mvua kubwa zilizolikumba jiji…

Continue Reading....

Mafuriko Ya Dar Yaleta Neema Kwa Baadhi ya Wakazi Wake!

Posted on: April 23, 2014April 23, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, mafuriko, neema, wakazi
Mafuriko Ya Dar Yaleta Neema Kwa Baadhi ya Wakazi Wake!

Thehabari leo ilivinjari maeneo ya Mto Mzinga, eneo la kwa Mpalange, Manispaa ya Temeke, na kushuhudia biashara ya kuvusha watu ikiendelea kutoka upande mmoja wa…

Continue Reading....

Je Huu ni Usafiri Kafiri Au..?

Posted on: April 23, 2014April 24, 2014 - Rungwe Jr.
Post Tags: Dar, majanga, taabu, usafiri
Je Huu ni Usafiri Kafiri Au..?

Pichani, ni wakazi wa jiji la Dar es Salaam kama walivyonaswa leo na mpiga picha wetu wakiwa kwenye heka heka za kuingia kwenye Daladala, ambalo…

Continue Reading....

Posts navigation

Older posts
Newer posts
thehabari