NMB Yashiriki Maonesho ya Kongamano la Biashara Afrika Mashariki

Meneja Mahusiano Programu za Wakulima Wadogo wa Benki ya NMB Plc, John Machunda (kushoto) akitoa maelezo kwa Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Dk Florens Turuka (wa pili kulia) alipotembelea banda la NMB katika maonesho ya biashara kwa wadau wa kilimo Afrika Mashariki yaliyofanyika Mlimani City jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Mifugo …