Bwana Jackson Oganga akiwa anatoa maelezo kwa vijana jinsi ya kupata ‘Scholarship’ zinazotolewa sehemu mbalimbali. Mwakilishi wa Asasi ya Kiraia Global Peace Foundation (GPF) Tanzania aliyewakilisha katika Semina hiyo, Bi. Anna Mwalongo akielezea kwa kifupi kuhusu Asasi hiyo. Mshauri wa mambo mbalimbali ya Kijamii na uchumi , Bw. Anthony Luvanda akitoa masomo ya namna vijana wanavyoweza kujikwamua na kujitegemea kwa kufanya …
Yatima S.O.S Dar Wamlilia Blogger Chinga One wa TBN
Baadhi ya waombolezaji wakiwa katika Ibada ya kuaga Mwili wa Marehemu Jennifer Livigha aliyekuwa mmiriki wa Blog ya Chinga One katika Hospitali ya Amana. Waongozaji wa Ibada ya kuaga mwili wa Marehemu Jennifer Waombolezaji wakiwemo baadhi ya wana Tanzania Bloggers Network (TBN) ambapo Marehemu Jennifer alikuwa mwanachama Mmoja ya waombolezaji akitoa historia fupi ya Marehemu Mmoja wa wanafamilia …
Monduli Yaunga Mkono Vita Dhidi ya Dawa za Kulevya
Mkuu wa mkoa akipokea kadi ya CHF wilaya ya Monduli kutoka kwa mkuu wa wilaya hiyo Idd Kimanta, ili kuhamasisha wananchi kujiunga na mfuko huo. Baadhi ya watumishi katika halmashauri ya wilaya ya momduli wakifuatilia yaliyokuwa yanaendelea kwa makini. Mkutano unaendele wadau pamoja na watumishi wa wa halmashauri hiyo wakifuatilia yale yanayoendelea. Picha zote na Vero Ignatus Blog Na Vero Ignatus, Monduli …
Hukumu Kesi ya Kikatiba Sheria ya Makosa ya Mtandao ‘Kizungumkuti’
HUKUMU ya kesi ya Kikatiba namba 9 ya mwaka 2016 iliyofunguliwa mwaka jana na Kampuni ya Jamii Media ikipinga baadhi ya vifungu vya sheria ya makosa ya mtandao kwa kile kuingilia uhuru wa maoni na kujieleza wa wananchi imeshindwa kusoma huku kukiwa hakuna sababu zilizotajwa. Akizungumza leo eneo la Mahakama Kuu, jijini Dar es Salaam Wakili wa Jamii Media, …
WorldRemit Sees Huge Growth in Money Transfers to Tanzania
DIGITAL money transfer service WorldRemit is consolidating its rapid expansion into Tanzania, supporting the growing demand for instant remittances to the country from over 4 million expatriates living abroad. A new record of 10,000 unique transactions completed in the month of December 2016 alone; 150% YoY growth in 2016, driven primarily by the rapid expansion of Mobile Money accounts as …
Mwakilishi UNDP, RC Kilimanjaro Wazinduwa Vyoo Shule za Msingi Moshi
Mwakilishi wa Shirika la Mpango wa Maendeleo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini, Alvaro Rodriguez pamoja na Mkuu wa wilaya ya Moshi Kippi Warioba wakizindua rasmi vyoo vilivyojengwa katika shule za msingi 10 wilayani Moshi za kufadhiliwa na UNDP. Mwakilishi wa Shirika la Mpango wa Maendeelo la Umoja wa Mataifa (UNDP) nchini Alavaro Rodriguez pamoja na Mkuu wa wilaya ya …