NMB yapata taarifa bora za hesabu za kibenki robo ya kwanza -2017
• Yapata faida ya shilingi bilioni 40.9 kwa miezi Mitatu • Ni ongezeko la asilimia 4 BENKI ya NMB imepatafaida ya shilingi Bilioni 40.9 kwa miezi mitatu ya mwanzo wa mwaka ikiwa ni ongezeko la 4% ya faida ukilinganisha na kipindi kama hicho Mwaka jana – 2016 ambapo NMB ilipata faida ya shilingi Bilioni 39.3. Mkurugenzi wa Benki ya …
NSSF Washiriki Sherehe za Siku ya Wafanyakazi Kitaifa Kilimanjaro
Rais John Magufuli akimkabidhi zawadi Mfanyakazi Bora wa Bohari ya Dawa (MSD), 2016/2017, Juma Kiongozi katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi yaliyofanyika kitaifa mkoani Kilimanjaro leo. Kulia ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa na kushoto ni Waziri wa Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Jenista Mhagama. Wafanyakazi wa MSD Kanda ya Kaskazini wakipita mbele ya mgeni rasmi …
YALIYOJIRI MAADHIMISHO YA ‘MEI MOSI’ VIWANJA VYA USHIRIKA MOSHI, KILIMANJARO
DONDOO ZA VIONGOZI KATIKA SHEREHE HIZO #Tunakushukuru Mhe.Rais Magufuli kwa kutekeleza kwa vitendo suala la elimu bure nchini – Said Meck Sadik. #Kati ya walimu wa Sayansi 100 waliopangikiwa mkoa wa Kilimanjaro, 94 wamesharipoti – Said Meck Sadik. #Serikali ya Mkoa imekuwa ikisisitiza uanzishwaji wa mabaraza ya wafanyakazi mahala pa kazi …
Diwani wa Kata ya Buzuruga Afanya Usafi Siku ya Wafanyakazi
Wananzengo wa Kata ya Buzuruga wakiwa pamoja na diwani wao, Richard Machema (mwenye kofia), katika zoezi la usafi kwenye Kituo cha Afya Buzuruga hii leo, ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani, Mei Mosi, 2017. Zoezi la usafi la kuondoa vichaka na taka katika mazingira ya Kituo cha Afya Buzuruga limeelezwa kusaidia kuteketeza maficho ya masalia ya …